Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella ametengua maamuzi ya SUMATRA baada ya kufuta njia tano za Barabara kwa kuwa hayakushirikisha wadau mbalimbali hivyo njia hizo zitaendelea kutumika kama kawaida.
RC Mongella atengua maamuzi ya SUMATRA (+video)
Leave a comment
Leave a comment