Kutoka Wilaya ya Magu Mwanza, mtoto Daud Mussa miaka 3, ameuawa kwa kuliwa na fisi wakati akicheza nje kidogo ya nyumbani kwao na muda huo Mama yake alikuwa ndani akipika, Kamanda wa Polisi Mwanza Jumanne Muliro amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Fisi aua mtoto wa miaka mitatu akicheza (+video)
Leave a comment
Leave a comment