Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Niruhusu nikupeleke Ikulu kupitia hapa, nikuonyeshe jinsi walivyoapishwa leo.
Share
Notification Show More
Latest News
Kizz Daniel alivyopanda jukwaani na bendera ya Tanzania, Watanzania wamsamehe kwa yale yaliyotokea
August 13, 2022
Video: Hamisa Mobetto aonesha gari jipya alilonunuliwa na mpenzi wake
August 13, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022
August 13, 2022
Mauaji Moro: Mume amnyonga Mkewe na mtoto, Kaka wa Marehemu afunguka
August 12, 2022
TFF yatoa tamko ishu ya Yanga, Manara aibua lingine, “Uzembe wenu ila mkawa wepesi”
August 12, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Niruhusu nikupeleke Ikulu kupitia hapa, nikuonyeshe jinsi walivyoapishwa leo.
Mix

Niruhusu nikupeleke Ikulu kupitia hapa, nikuonyeshe jinsi walivyoapishwa leo.

January 20, 2014
Share
1 Min Read
SHARE

03Leo January 20 2014 Ikulu Jijini Dar es salaam Rais Jakaya Kikwete aliwaapisha Mawaziri wapya waliotangazwa kwenye mabadiliko ya baraza la Mawaziri yaliyofanywa hivi karibuni.

02

01Picha hiyo ya kwanza na ya pili inamuonyesha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal akimpongeza Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu ambae yuko na mkewe Faraja Kotta pamoja na familia yake baada ya kuapishwa na kulia kwa Makamu ni Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba.

003        Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Adam Malima kuwa Naibu Waziri wa Fedha.

004Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Charles Kitwange Naibu Waziri wa Nishati na Madini.

005Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Amos Makala kuwa Naibu Waziri wa Maji.
006Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Jenista  Mhagama kuwa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi.

007Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Dkt. Pindi Chana kuwa Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto.

008Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Mwigulu Nchemba kuwa Naibu Waziri wa Fedha.

009Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Juma Nkamia kuwa Naibu Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo.

10Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Mahmoud Mgimwa kuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii.

 

You Might Also Like

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam

Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu

Millard Ayo January 20, 2014
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Hii ndio ajali nyingine tena ya leo iliyotokea Lindi.
Next Article Kama umewahi kuitazama Isidingo, huyu ndio mwigizaji wao aliefariki jana.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Kizz Daniel alivyopanda jukwaani na bendera ya Tanzania, Watanzania wamsamehe kwa yale yaliyotokea
Entertainment August 13, 2022
Video: Hamisa Mobetto aonesha gari jipya alilonunuliwa na mpenzi wake
Entertainment August 13, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022
Mix August 13, 2022
Mauaji Moro: Mume amnyonga Mkewe na mtoto, Kaka wa Marehemu afunguka
Top Stories August 12, 2022

You Might also Like

Top Stories

Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo

August 12, 2022
Top Stories

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’

August 11, 2022
Top Stories

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

August 11, 2022
Top Stories

Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar

August 11, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?