Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Inonga na Ahmed Ally waupiga mwingi mwezi April Simba SC
Share
Notification Show More
Latest News
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
May 31, 2023
Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano
May 31, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Inonga na Ahmed Ally waupiga mwingi mwezi April Simba SC
Sports

Inonga na Ahmed Ally waupiga mwingi mwezi April Simba SC

May 6, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Beki wa Simba SC Henock Inonga Baka raia wa Congo DR amefanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi April wa mashabiki wa Simba SC kutokana na kuonesha kiwango bora.

 

Inonga amepewa tuzo ya Emirate Alluminium ACP pamoja na kitita cha Tsh milioni 2 kama zawadi kutoka na kiwango bora alichoonesha ndani ya mwezi April.

Pamoja na kuwa na kiwango bora kwa muda mrefu Inonga katika derby ya Kariakoo dhidi ya Yanga iliyochezwa April 30 2022 na kumalizika kwa sare 0-0, Inonga  alionesha kiwango bora kwa kumdhibiti Fiston Mayele kutoonesha makali yake.

Hata hivyo Emirate Aluminum ACP ambao ndio wadhamini wa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi wa Simba SC, wametambua mchangoa wa meneja wa habari na mawasiliano Simba SC Ahmed Ally wa hamasa kwa mashabiki na kumpa zawadi ya Tsh milioni 2.

You Might Also Like

Guardiola anyakua tuzo ya tatu ya Meneja Bora wa Mwaka wa LMA!

Pochettino Kocha Mpya Chelsea

Mario Balotelli atabiri fainali ya Man City vs Inter Milan juni 10

Cristiano Ronaldo kuondoka Al-Nassr adaiwa kuwasiliana na Real Madrid

Picha: Yanayojiri kwa Benjamini Mkapa, mashabiki wafurika nje kushuhudia mechi ya Yanga SC dhidi ya USM Alger

TAGGED: Soka bongo
Rama Mwelondo TZA May 6, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Sabaya Mahakamani, hukumu ya rufaa iliyowafunga miaka 30 kutolewa (video+)
Next Article Jack Harlow ametuletea hii video mpya ‘First Class’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
Top Stories May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
Top Stories May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
Top Stories May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
Top Stories May 31, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

May 31, 2023
Top Stories

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

May 31, 2023
Top Stories

Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana

May 31, 2023
Top Stories

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

May 31, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?