Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mwenyekiti wa Chadema alietekwa katoka hospitali, pichaz na alichosema.
Share
Notification Show More
Latest News
Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu
May 30, 2023
Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
May 30, 2023
‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba
May 30, 2023
Sentensi za Waziri wa Nishati January Makamba kwenye mahojiano na Clouds 360 Mei 30, 2023
May 30, 2023
Beyonce atoa pongezi za muziki kwa idol wake marehemu Tina Turner.
May 30, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mwenyekiti wa Chadema alietekwa katoka hospitali, pichaz na alichosema.
Top Stories

Mwenyekiti wa Chadema alietekwa katoka hospitali, pichaz na alichosema.

January 9, 2014
Share
1 Min Read
SHARE

DSC_0142millardayo.com : Mendeleo yako yakoje?

Joseph Yona: Mendeleo yangu sasa hivi ni mazuri zaidi ni kichwa na mgongo tu vinaniuma ila tuliamua tu kwa hali ya kawaida kuondoka hospitali saa kumi na mbili jioni siku ya tukio kwa sababu ya mambo ya kiusalama.

Millardayo.com: Majibu ya madaktari yakoje?

Joseph Yona: Vipimo vyao walipima wakakuta naendelea vizuri kwa hiyo wakasema ni maumivu tu kwa sababu ya hivi vidondavidonda na mwili kwa hiyo wakanipa dawa za kumeza nyingine wamenambia ninunue mtaani.

Millardayo.com: Ni kweli umehama nyumbani ulipokua unakaa mara ya kwanza baada ya kutoka Hospital?

DSC_0140Joseph Yona: ‘Ni kweli nimehama sababu za kiusalama, Chama chetu sehemu inayofikia mi naamini sio kuzuri sana kwa sababu wale watu walivonichukua walinipiga nilikuwa sijisikii vizuri nilipokua naongea na waandishi lakini leo nipo vizuri, mtu kama Sabura alikuwa akiwapigia simu nilikuwa nawasikia kabisa walikua wanawasiliana nae kuna mtu kama k-two’

Kwa hiyo unaponiumiza mimi kama kiongozi wa Chama je hawa watu wa chini itakuaje? kwa hiyo vyombo vya usalama inabidi viangalie hata wale walionifungia ofisi yangu saa 10 kabla ya mimi kutekwa kwa sababu ni saa chache tu kabla ya kutekwa.

You Might Also Like

Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu

Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu

‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba

Sentensi za Waziri wa Nishati January Makamba kwenye mahojiano na Clouds 360 Mei 30, 2023

Marekani kuzingatia vikwazo vya visa kuhusu sheria ya Uganda dhidi ya mashoga

Millard Ayo January 9, 2014
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Hii ni ya kesho Ijumaa Dar es salaam mtu wangu! @bballkitaa @IamNchaKALIH
Next Article Isikilize hapa You heard ya leo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu
Top Stories May 30, 2023
Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
Top Stories May 30, 2023
‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba
Top Stories May 30, 2023
Sentensi za Waziri wa Nishati January Makamba kwenye mahojiano na Clouds 360 Mei 30, 2023
Top Stories May 30, 2023

You Might also Like

Top Stories

Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu

May 30, 2023
Top Stories

Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu

May 30, 2023
Top Stories

‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba

May 30, 2023
Top Stories

Marekani kuzingatia vikwazo vya visa kuhusu sheria ya Uganda dhidi ya mashoga

May 30, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?