Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Japan Balozi Hussein A. Kattanga kuwa Katibu Mkuu Kiongozi akichukua nafasi Dkt. Bashiru ambaye ameteuliwa kuwa Mbunge.
Kattanga achukua nafasi ya Dkt. Bashiru Ikulu
Leave a comment
Leave a comment