Kutokea Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, kesi ndogo ndani ya kesi kubwa inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu imeendelea katika hatua ya ushahidi.
Kesi ya Mbowe:Komandoo aliyefukuzwa JWTZ amtaja hayati Magufuli “Nilifungwa kitambaa”
Leave a comment
Leave a comment