Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Jina la Tekno limeondolewa kwenye list ya wasanii wanaowania tuzo za Headies
Share
Notification Show More
Latest News
Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
March 23, 2023
DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’
March 23, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Jina la Tekno limeondolewa kwenye list ya wasanii wanaowania tuzo za Headies
Habari za Mastaa

Jina la Tekno limeondolewa kwenye list ya wasanii wanaowania tuzo za Headies

December 22, 2016
Share
1 Min Read
SHARE

Yakiwa ni masaa machache yamebakia kufikia muda kutolewa tuzo za muziki nchini Nigeria zinazofahamika kama Headies, jina la star muimbaji wa muziki kutoka nchini humo Tekno Miles limeondolewa kwenye list ya wasanii wanaowania tuzo ya msanii anayechipukia baada ya Tekno kuikataa.imageHivi karibuni kupitia instagram yake, star wa huyo wa single ya Pana, aliandika maneno ya kuonesha kutofurahia kutajwa kwenye kipengele hicho kwa madai kwamba yeye sio msanii chipukizi kwasasa hivyo kumta kwenye category hiyo ni kumshusha na kumdharau.

Kupitia barua ya waandaaji, wamemjibu Tekno kuwa wamefanyia kazi maoni yake na hivyo kamati ya tuzo imeamua kuliondoa jina lake kwenye tuzo hizo na ikasainiwa na mtayarishaji mkuu kutoka Headies Ayo Animashaun.

Mr Eazi, Humblesmith, Ycee na Aramide ndio wasanii waliobaki kuwania tuzo hizo ambazo sherehe zake zinafanyika leo December 22, kwenye ukumbi wa Eko Convention Centre, Victoria Island, jijini Lagos Nigeria.

VIDEO: Full Performance ya TEKNO, Vanessa Mdee, Yemi Alade Alikiba, Barakah Da Prince na JUX kwenye jukwaa la FIESTA2016. Tazama video hii.

You Might Also Like

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

TAGGED: Africa burudani, Nigeria, tuzo
Admin December 22, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article PART 2: Jamaa anaishi na mtoto wa dada yake na wamezaa
Next Article TBT: Picha za utoto za Rooney, Aguero, Petr Cech na Theo Walcott
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
Entertainment March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
Top Stories March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
Top Stories March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
Sports March 23, 2023

You Might also Like

Sports

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

March 23, 2023
Sports

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

March 22, 2023
Sports

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

March 18, 2023
SportsTop Stories

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

March 17, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?