Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Dkt.John Pombe Magufuli leo Agosti 17,2020 atakabidhi Uwenyekiti wa SADC kwa Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi katika Mkutano wa 40 wa SADC.
LIVE: Rais Magufuli anakabidhi Uenyekiti SADC
Leave a comment
Leave a comment