Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mambo Matatu yaliyozungumzwa na Familia ya MO DEWJI leo
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
March 25, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mambo Matatu yaliyozungumzwa na Familia ya MO DEWJI leo
Top Stories

Mambo Matatu yaliyozungumzwa na Familia ya MO DEWJI leo

October 15, 2018
Share
2 Min Read
SHARE

Leo October 15, 2018 Familia ya Mfanyabisahara na mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohamed Dewji, imetangaza dau la Shilingi Bilioni 1 kwa atakayefanikisha kutoa taarifa za za kupatikana kwa mtoto wao.

Nukuu Tatu kubwa kutoka kwenye Press Confrence ya Familia ya MO Dewji

“Katika kuongeza juhudi za kuhakikisha Mtoto wetu mpendwa anapatikana Familia inatangaza zawadi nono ya Shilingi za Kitanzania BILIONI 1 kwa yoyote atakayetoa taarifa muhimu za kufanikisha kupatikana Mtoto wetu” -Familia ya MO DEWJI

“Katika kuongeza juhudi za kuhakikisha Mtoto wetu mpendwa anapatikana Familia inatangaza zawadi nono ya Shilingi za Kitanzania BILIONI 1 kwa yoyote atakayetoa taarifa muhimu za kufanikisha kupatikana Mtoto wetu” -Familia ya MO DEWJI#MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/xDdcRQ4Dp4

— millardayo (@millardayo) October 15, 2018


“Familia inaahidi kwamba Mtoa taarifa pamoja na Taarifa vitabaki kuwa ni siri kubwa baina ya Mtoa taarifa na familia” -Familia ya MO DEWJI

“Familia inaahidi kwamba Mtoa taarifa pamoja na Taarifa vitabaki kuwa ni siri kubwa baina ya Mtoa taarifa na familia” -Familia ya MO DEWJI#MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/OXt3tWlm4n

— millardayo (@millardayo) October 15, 2018


“Siwezi kujibu maswali nawaomba muendelee kutuombea kuliko kutaka tujibu maswali” -Familia ya MO DEWJI

“Siwezi kujibu maswali nawaomba muendelee kutuombea kuliko kutaka tujibu maswali” -Familia ya MO DEWJI#MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/F14zixUzqd

— millardayo (@millardayo) October 15, 2018

BREAKING: Familia ya MO Dewji yavunja ukimya yatangaza dau la BILIONI 1

You Might Also Like

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

TAGGED: Breaking news, TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA October 15, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article PICHA: Familia ya MO DEWJI ilivyotangaza dau la BILIONI 1.
Next Article Siku 10 ICU, Nameless asimulia alivyonusurika kifo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
Magazeti March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
Top Stories March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
Entertainment March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
Top Stories March 25, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

March 25, 2023
Top Stories

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

March 25, 2023
Top Stories

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

March 25, 2023
Top Stories

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

March 25, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?