Rais Magufuli leo Aprili 03, 2019 anaendelea na ziara yake Mkoani Mtwara ambapo muda huu anaweka jiwe la msingi ujenzi wa barabara ya Mtwara – Mnivata (km 50) itakayogharimu shilingi Bilioni 89. Tazama LIVE kwa kubonyeza PLAY hapa chini.
LIVE: Rais Magufuli anazungumza na Wananchi wa Mtwara
Leave a comment
Leave a comment