Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mwanaume amuua mpenzi wake kwa kumuwekea sumu, kisha nae kujiua (video+)
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Msondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
December 9, 2023
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa
December 8, 2023
Wadau Morogoro wajitokeza kutoa msaada Hanang, RC aipokea
December 8, 2023
‘Wasomi tumieni Elimu kusaidia Jamii’- Mwenyekiti wa Baraza la Elimu ya Watu wazima
December 8, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mwanaume amuua mpenzi wake kwa kumuwekea sumu, kisha nae kujiua (video+)
Top Stories

Mwanaume amuua mpenzi wake kwa kumuwekea sumu, kisha nae kujiua (video+)

September 11, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Watu wawili wafariki dunia kwa kunywa sumu katika Kitongoji cha Mlandizi kata ya Mlandizi Tarafa ya Mlandizi Wilaya ya kipolisi Mlandizi Mkoani Pwani.

“Mnamo tarehe 5/9/2021 majira ya asubuhi huko katika Kitongoji cha Mlandizi Watu wawili wanaodaiwa kuwa ni wapenzi walikutwa wamefariki katika makazi yao baada ya kunywa ya kitu kinachodhaniwa ni sumu, Watu hao ni Godfrey Pius Mandai (48) ambaye alikuwa ni Dereva wa Kampuni ya Yapi Merkez na veronica Gerald ( 42) Mfanyabiashara na mkazi wa Mtwara ambaye alisafiri kutoka Mtwara na kumfuata Mpenzi wake huyo Mlandizi.

“Mwanaume yule alitengengeza juisi ambayo ndani yake ilikuwa na sumu akampa Veronica akanywa na kufariki, Mwanaume alipoona Mpenzi wake amefariki na yeye akanywa na akafariki”- Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa .

“Chanzo ni wivu wa kimapenzi ambapo Mwanaume alikuwa anamtuhumu Veronica kuwa anafanya usaliti, kwenye eneo la tukio tumekuta chupa yenye masalia ya sumu na tumekuta pia karatasi ambayo inadhaniwa imeandikwa na mmoja wao na imeandikwa ‘HUU NI USALITI TU’-Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa .

WANAJESHI WALIOMPINDUA RAIS CONDE, WAANZA KUWAPOKEA VIONGOZI MBALIMBALI

You Might Also Like

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa

Wadau Morogoro wajitokeza kutoa msaada Hanang, RC aipokea

‘Wasomi tumieni Elimu kusaidia Jamii’- Mwenyekiti wa Baraza la Elimu ya Watu wazima

Sherehe za maadhimisho ya miaka 10 ya jukwaa la Shuledirect

TAGGED: Mkoa wa Pwani
Edwin TZA September 11, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kauli ya mwisho ya Hans Pope baada ya Msigwa kumjulia hali “Ugonjwa Unatesa sana huu”
Next Article Ukweli kuhusu Ujauzito wa Msanii wa kiume Marekani, Obama ampongeza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
Top Stories December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Msondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
Entertainment December 9, 2023
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa
Top Stories December 8, 2023
Wadau Morogoro wajitokeza kutoa msaada Hanang, RC aipokea
Top Stories December 8, 2023

You Might also Like

Top Stories

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

December 9, 2023
Top Stories

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa

December 8, 2023
Top Stories

‘Wasomi tumieni Elimu kusaidia Jamii’- Mwenyekiti wa Baraza la Elimu ya Watu wazima

December 8, 2023
Top Stories

Sherehe za maadhimisho ya miaka 10 ya jukwaa la Shuledirect

December 8, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?