Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: ‘Kati ya nyimbo zote, nyimbo mpya peke yake ni yangu’ -Ney wa Mitego
Share
Notification Show More
Latest News
Watumishi watakiwa kujipanga kustaafu pindi wanapoajiriw.
September 30, 2023
Anthony kurejea mazoezini baada ya sekeseke lililomkuta.
September 30, 2023
TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.
September 30, 2023
Maboresho ya bandari kusaidia ufanisi katika kazi.
September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
September 30, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > ‘Kati ya nyimbo zote, nyimbo mpya peke yake ni yangu’ -Ney wa Mitego
Habari za Mastaa

‘Kati ya nyimbo zote, nyimbo mpya peke yake ni yangu’ -Ney wa Mitego

March 1, 2018
Share
1 Min Read
SHARE

Leo March 1, 2018 stori zinazohusiana na TCRA kupiga marufuku baadhi ya nyimbo kuchezwa katika TV na Redio zinaendelea kushika headlines ambapo  Staa wa Muziki wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki, maarufu kama Ney wa Mitego amesema yeye ndio chanzo cha kufungiwa kwa nyimbo nchini.

Nyimbo zaidi ya kumi zilitangazwa na Mamlaka ya Mawasiliano kupigwa marufuku kuchezwa katika redio na TV Tanzania.

“Wakati mwingine naona kuwa sababu ya kufungiwa kwa miziki hii ni mimi na wengine wanawekwa kama chambo kwa kuwa kati ya nyimbo zote hizo, nyimbo mpya peke yake ni yangu tu ambayo imetoka wiki mbili zilizopita na video ina wiki moja tu” -Ney wa Mitego.

Hata hivyo hii sio mara ya kwanza kwa mwanamuziki huyo kupata misukosuko katika muziki wake. March 2017, Ney wa Mitego alikamatwa na jeshi la polisi kwa kosa la kuimba wimbo unaokashifu serikali.

NYIMBO 13 ZA BONGOFLEVA, TCRA IMEAGIZA ZISIPIGWE REDIONI WALA TV

You Might Also Like

Diamond na Jux wanusurika kifo kwenye lift ya ghorofa

Str8upvibes wameungana na Everthing Dope TZ kumleta mkali wa kwenye ‘Young, Famous and African’

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

TAGGED: bongo fleva, bongofleva news, ney wa mitego
Millard Ayo March 1, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article MAHAKAMANI: Alichosema shahidi kesi ya Halima Mdee kupinga kauli ya JPM
Next Article Rufaa ya ‘Sugu’ Mahakama Kuu Mbeya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Watumishi watakiwa kujipanga kustaafu pindi wanapoajiriw.
Top Stories September 30, 2023
Anthony kurejea mazoezini baada ya sekeseke lililomkuta.
Top Stories September 30, 2023
TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.
Top Stories September 30, 2023
Maboresho ya bandari kusaidia ufanisi katika kazi.
Top Stories September 30, 2023

You Might also Like

Top Stories

Watumishi watakiwa kujipanga kustaafu pindi wanapoajiriw.

September 30, 2023
Top Stories

Anthony kurejea mazoezini baada ya sekeseke lililomkuta.

September 30, 2023
Top Stories

TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.

September 30, 2023
Top Stories

Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

September 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?