Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Sheria ya kunyoa nywele Korea Kaskazini ambayo haipatikani kwingine duniani
Share
Notification Show More
Latest News
Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani
August 12, 2022
Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo
August 12, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022
August 12, 2022
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
August 11, 2022
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Duniani > Sheria ya kunyoa nywele Korea Kaskazini ambayo haipatikani kwingine duniani
DunianiMix

Sheria ya kunyoa nywele Korea Kaskazini ambayo haipatikani kwingine duniani

May 1, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Kila sehemu kuna taratibu zake ambazo lazima zifuatwe na watu wa sehemu husika huku taratibu hizo zikisimamiwa na kulindwa ambapo kwenda kinyume chake huweza kupelekea aliyeacha kuzifuata kuadhibiwa.

Leo May 1, 2017 ninayo hii stori inayomuhusu kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un kuwaambiwa watu wa nchi hiyo kwamba kuna mitindo 28 tu ya nywele ambayo watu wanaruhusiwa kuchagua wanapotaka kunyoa.

Katika mitindo hiyo, wanaume wanaweza kuchagua mtindo mmoja wa kunyoa katika mitindo 10 iliyokuwa maalum kwa ajili yao, wakati mwanamke atachagua mtindo mmoja wa nywele kati ya 18 iliyowekwa kwa ajili yao.

Mbali na list hiyo, hakuna mtu anayeruhusiwa kunyoa kama kiongozi – yaani mtindo wa nywele wa kiongozi wa nchi hiyo Kim Jong-un haupo kwenye list ya mitindo 28, hivyo hakuna anayeruhusiwa kunyoa kama yeye.

Watu wazima wanaruhusiwa kukuza nywele hadi kufikia urefu wa inchi tatu, lakini watu wengine wameonywa kutozidisha nywele zao zaidi ya inchi mbili huku wanawake walioolewa wakiambiwa wafupishe nywele zao.

Miongoni mwa mitindo iliyopigwa marufuku nchini humo ni pamoja na Spiky crops na uvunjaji wa kanuni hii kunaweza kukufanya kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria za nchi.

Mitindo 10 kwa wanaume:

Mitindo 18 kwa wanawake:

VIDEO: Ilivyokuwa kwenye Harusi ya Madam Flora, Mwanza. Bonyeza play kutazama…

You Might Also Like

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam

Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu

Kampuni ya PAET imewekeza Dola Milioni 70 uendelezaji gesi

TAGGED: Pichaz
Millard Ayo May 1, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Alichokifanya Joh Makini Club 71, Tegeta usiku wa kuamkia May 1
Next Article VIDEO: Hotuba ya JPM kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani – Kilimanjaro
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani
Entertainment August 12, 2022
Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo
Top Stories August 12, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022
Magazeti August 12, 2022
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
Sports August 11, 2022

You Might also Like

Sports

Kauli ya Simba SC baada ya Tundaman kuingia na Jeneza ‘Simba day’ uwanja wa Mkapa

August 10, 2022
Sports

Picha 19: Uzinduzi wa Jezi mpya za Simba SC, Mashabiki wafurika Dukani DSM

August 7, 2022
Sports

Simba wafunga usajili kwa kishindo, washusha mshambuliaji kutoka Ulaya

August 7, 2022
Sports

Manara amuingiza Hersi kwenye 18 za TFF

August 7, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?