Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Sheria ya kunyoa nywele Korea Kaskazini ambayo haipatikani kwingine duniani
Share
Notification Show More
Latest News
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
May 31, 2023
Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano
May 31, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Duniani > Sheria ya kunyoa nywele Korea Kaskazini ambayo haipatikani kwingine duniani
DunianiMix

Sheria ya kunyoa nywele Korea Kaskazini ambayo haipatikani kwingine duniani

May 1, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Kila sehemu kuna taratibu zake ambazo lazima zifuatwe na watu wa sehemu husika huku taratibu hizo zikisimamiwa na kulindwa ambapo kwenda kinyume chake huweza kupelekea aliyeacha kuzifuata kuadhibiwa.

Leo May 1, 2017 ninayo hii stori inayomuhusu kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un kuwaambiwa watu wa nchi hiyo kwamba kuna mitindo 28 tu ya nywele ambayo watu wanaruhusiwa kuchagua wanapotaka kunyoa.

Katika mitindo hiyo, wanaume wanaweza kuchagua mtindo mmoja wa kunyoa katika mitindo 10 iliyokuwa maalum kwa ajili yao, wakati mwanamke atachagua mtindo mmoja wa nywele kati ya 18 iliyowekwa kwa ajili yao.

Mbali na list hiyo, hakuna mtu anayeruhusiwa kunyoa kama kiongozi – yaani mtindo wa nywele wa kiongozi wa nchi hiyo Kim Jong-un haupo kwenye list ya mitindo 28, hivyo hakuna anayeruhusiwa kunyoa kama yeye.

Watu wazima wanaruhusiwa kukuza nywele hadi kufikia urefu wa inchi tatu, lakini watu wengine wameonywa kutozidisha nywele zao zaidi ya inchi mbili huku wanawake walioolewa wakiambiwa wafupishe nywele zao.

Miongoni mwa mitindo iliyopigwa marufuku nchini humo ni pamoja na Spiky crops na uvunjaji wa kanuni hii kunaweza kukufanya kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria za nchi.

Mitindo 10 kwa wanaume:

Mitindo 18 kwa wanawake:

VIDEO: Ilivyokuwa kwenye Harusi ya Madam Flora, Mwanza. Bonyeza play kutazama…

You Might Also Like

Wabunge wafurahishwa na utekelezwaji wa mradi wa bomba la mafuta ghafi EACOP

Profesa Mkenda kufungua maonesho ya Nane ya Tafiti na Ubunifu UDSM

Miaka 5 ya ITM, Serikali imeahidi kuadhimisha sekta ya rasilimali watu

Yanga, UNICEF na Serikali zaungana kutoa elimu Ugonjwa wa Kipindupindu

Msaada wa pikipiki kwa Polisi kulinda Watalii

TAGGED: Pichaz
Millard Ayo May 1, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Alichokifanya Joh Makini Club 71, Tegeta usiku wa kuamkia May 1
Next Article VIDEO: Hotuba ya JPM kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani – Kilimanjaro
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
Top Stories May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
Top Stories May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
Top Stories May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
Top Stories May 31, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

May 31, 2023
Top Stories

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

May 31, 2023
Top Stories

Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana

May 31, 2023
Top Stories

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

May 31, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?