Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: CCM na Urais 2015.. Gwajima alitaka kutoroshwa? Askofu Pengo kasemaje? Sikiliza hapa
Share
Notification Show More
Latest News
Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
March 23, 2023
DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’
March 23, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Magazeti > CCM na Urais 2015.. Gwajima alitaka kutoroshwa? Askofu Pengo kasemaje? Sikiliza hapa
Magazeti

CCM na Urais 2015.. Gwajima alitaka kutoroshwa? Askofu Pengo kasemaje? Sikiliza hapa

March 30, 2015
Share
2 Min Read
SHARE

volume-button-19751-1680x1050

Jumatatu  ya March 30, tayari  Magazeti ya leo yapo mtaani, POWERBREAKFAST ya CLOUDS FM nayo imeshafanya uchambuzi wa stori zote, kama zilikupita sikiliza hapa…

Iko ishu ya Urais CCM kuwa na dalili za maamuzi magumu, Muswada wa Sheria ya makosa ya mtandao unaelekeza atakayesambaza picha cha ngono mtandaoni kufungwa miaka 7, Askofu Kardinali Pengo amesema amemsamehe Askofu Gwajima kwa kumkashifu, Jeshi la Polisi Dar linawashikilia watu 15 kwa tuhuma za kutaka kumtorosha Askofu Gwajima katika Hospitali ya TMJ, Askari Magereza afukuzwa kazi kwa kosa la kukutwa na fedha bandia, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesitisha kuanza kwa mradi mpya wa mji wa Kigamboni.

Zitto Kabwe kapewa masharti magumu na chama cha ACT, barabara ya msimbazi kufungwa ili kupisha ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi, Wizara ya Uchukuzi inatarajia kujenga reli mpya tatu ili kutoa huduma kwa nchi jirani na Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ametoa wito kwa vijana wa Afrika kupinga ukoloni mamboleo.

Katika uchambuzi huo kulikuwa na mazungumzo ya Askofu Kardinali Pengo ambae amesema amewasamehe wale wote walioeneza hivi karibuni maneno ya kashfa yasiyofaa dhidi yake.

92.9 Clouds FM inasikika ukiwa Iringa.

Bonyeza play kusikiliza uchambuzi wote wa Magazeti ya leo March 30.

Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi kwa kubonyeza >>>twitter Insta Facebook

You Might Also Like

Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 23, 2023

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 23, 2023

Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 22, 2023

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 22, 2023

Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 21, 2023

TAGGED: Magazeti PB
Millard Ayo March 30, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Huwa unadata na nyumba nzurinzuri? leo nimedata na hizi.
Next Article Kutoka kwenye MAGAZETI ya leo March 30, hapa kuna stori 9 zilizopewa headlines
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
Entertainment March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
Top Stories March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
Top Stories March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
Sports March 23, 2023

You Might also Like

Sports

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

March 23, 2023
Sports

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

March 22, 2023
Sports

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

March 18, 2023
SportsTop Stories

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

March 17, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?