Watoto pacha waliokuwa wameungana na hatimaye kwenda kufanyiwa upasuaji wa kutenganishwa nchini Saudi Arabia, Almenesia na Ainisia Beatus wamewasili Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, DSM punde wakiwa tayari wametenganishwa.
Mama wa Watoto pacha afunguka baada ya upasuaji wa Watoto wake (+video)
Leave a comment
Leave a comment