Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: PICHA 9: Treni ya kifahari kutoka South Africa ilivyofika Tanzania leo March 11 2017
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > PICHA 9: Treni ya kifahari kutoka South Africa ilivyofika Tanzania leo March 11 2017
Mix

PICHA 9: Treni ya kifahari kutoka South Africa ilivyofika Tanzania leo March 11 2017

March 11, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Leo March 11 2017 nchini Tanzania imewasili Treni ya Kifahari ya Kitalii ya Rovos Rail Treni ikiwa na jumla ya watalii  71 ambao waliiambia Ayo TV na millardayo.com kuwa walianza safari yao kutoka South Africa March 1 2017.

Kwa mujibu wa msemaji wa Treni hiyo akizungumza na Ayo TV, amesema katika safari yao wamepita nchi za Botswana, Zimbabwe, Zambia na leo March 11 2017 ndio wameingia rasmi Tanzania.

‘Ni safari ambayo tumeianza March 1 2017 na leo March 11 2017 tumeingia Tanzania. Tunatarajia kuzifanya safari hizi mara tano kwa mwaka na hii ya leo ndio safari yetu ya kwanza‘ – Querida Vented.

 Ulimiss OnAIR ya  Irene Uwoya: Ataemchukulia Uwoya Mwanaume, Wanaume wanaokwenda Saluni je? itazame hii video hapa chini…

 

You Might Also Like

Fredy Lowassa akabidhi vifaa vya shule kwa waliofauli 2023

Gynah ni mwimbaji wa kimataifa kenye usiku wa Kahawa

PICHA: Jerry Muro akabidhi madarasa 29 kwa RC Singida

Samsung wafungua duka lao ndani ya Palm village Mikocheni

Hatimaye Miss Tanzania 2020 akabidhiwa zawadi yake

TAGGED: Dar es salaam
Admin March 11, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Leo ni Birthday ya Didier Drogba, jikumbushe magoli yake 10 bora akiwa Chelsea
Next Article PICHA 10: Maktaba zilizotajwa kuwa na mvuto zaidi Duniani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?