Inaripotiwa kuwa Mbunge wa Iramba Magharibi Dr Mwigulu Nchemba amepata ajali ya gari akiwa njiani barabara ya Iringa kuelekea Dodoma na amekimbizwa hospitali ya Dodoma, taarifa zaidi kukujia hivi punde.
BREAKING: Mbunge Mwigulu Nchemba amepata ajali
Leave a comment
Leave a comment