Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli ameweka jiwe la msingi la jengo la Idara ya Usalama wa Taifa eneo la Maisala Zanzibar leo baada ya kupokelewa Uwanja wa Kimataifa wa Zanzibar na Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Alli Iddi na Viongozi wengine.
Rais Magufuli aweka jiwe la msingi jengo la Usalama wa Taifa Zanzibar (+video)
Leave a comment
Leave a comment