Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Rais wa Mali aliyepinduliwa madarakani afariki dunia
Share
Notification Show More
Latest News
FIFA imethibitisha ratiba ya michezo mingine yote ya Kombe la Dunia la U-20 inayoendelea.
May 30, 2023
Mahakama ya Libya imewahukumu kifo watu 35 kwa kupigania kundi la Islamic State
May 30, 2023
Pangani yatimiza ilani ya vijiji vyote kuwa na umeme.
May 30, 2023
bandari ya dar es salaam yaweka rekodi mpya katika kuhudumia shehena
May 30, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 30, 2023
May 30, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Rais wa Mali aliyepinduliwa madarakani afariki dunia
Top Stories

Rais wa Mali aliyepinduliwa madarakani afariki dunia

January 17, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Rais wa Mali aliyeondolewa madarakani Ibrahim Boubacr Keita amefariki akiwa na umri wa miaka 76 , familia yake na rafiki zake wamesema.

Miaka miwili iliopita aliugua kiharusi lakini chanzo cha kifo chake siku ya Jumapili hakikuwekwa wazi.

Alifariki mwendo wa saa tatu saa za Uingereza nyumbani kwake mjini Bamako , mmoja wa ndugu zake alikiambia chombo cha Habari cha AFP.

Keita aliiongoza Mali kwa miaka saba hadi 2020, wakati alipopinduliwa baada ya maandamano makubwa dhidi ya serikali kutokana na jinsi alivyolishughulikia suala la Wanajihad.

Mgogoro wa kiuchumi na uchaguzi ulio huru pia ulisababisha maandamano hayo dhidi ya utawala wake.

BABA ABAKA MTOTO WAKE WA KUMZAA “NI MWANAFUNZI DARASA LA 7”

You Might Also Like

FIFA imethibitisha ratiba ya michezo mingine yote ya Kombe la Dunia la U-20 inayoendelea.

Mahakama ya Libya imewahukumu kifo watu 35 kwa kupigania kundi la Islamic State

Pangani yatimiza ilani ya vijiji vyote kuwa na umeme.

bandari ya dar es salaam yaweka rekodi mpya katika kuhudumia shehena

Katibu Mkuu CCM amuagiza haya RC wa Iringa, kuhakikisha kituo hiki cha Afya kimefunguliwa na kuanza kutoa huduma

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA January 17, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mvua kubwa Mikoa 8 leo
Next Article Matajiri wamenufaika na janga la Covid-19
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

FIFA imethibitisha ratiba ya michezo mingine yote ya Kombe la Dunia la U-20 inayoendelea.
Top Stories May 30, 2023
Mahakama ya Libya imewahukumu kifo watu 35 kwa kupigania kundi la Islamic State
Top Stories May 30, 2023
Pangani yatimiza ilani ya vijiji vyote kuwa na umeme.
Top Stories May 30, 2023
bandari ya dar es salaam yaweka rekodi mpya katika kuhudumia shehena
Top Stories May 30, 2023

You Might also Like

Top Stories

FIFA imethibitisha ratiba ya michezo mingine yote ya Kombe la Dunia la U-20 inayoendelea.

May 30, 2023
Top Stories

Mahakama ya Libya imewahukumu kifo watu 35 kwa kupigania kundi la Islamic State

May 30, 2023
Top Stories

Pangani yatimiza ilani ya vijiji vyote kuwa na umeme.

May 30, 2023
Top Stories

Katibu Mkuu CCM amuagiza haya RC wa Iringa, kuhakikisha kituo hiki cha Afya kimefunguliwa na kuanza kutoa huduma

May 30, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?