Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Rapper Kanye West amchapa busu zito mpenzi wake mpya hadharani
Share
Notification Show More
Latest News
Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”
March 22, 2023
“Serikali kutenga Fedha kulinda hadhi ya urithi wa Mji mkongwe Zanzibar”- Rais Mwinyi
March 22, 2023
Vurugu zilizotokea Mgodini mirerani, wataalamu wa Dodoma wazama migodini
March 22, 2023
‘Serikali kutumia Matokeo ya tafiti kwa maslahi ya Taifa’- Rais Mwinyi
March 22, 2023
Guterres: Kwenye maadhimisho ya siku ya Maji duniani, “mahitaji yanaongezeka tutunze rasilimali za maji”.
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Rapper Kanye West amchapa busu zito mpenzi wake mpya hadharani
Habari za Mastaa

Rapper Kanye West amchapa busu zito mpenzi wake mpya hadharani

January 14, 2022
Share
1 Min Read
West Hollywood, CA - Kanye West and Julia Fox share a kiss before Kanye gets inside the car after enjoying dinner at Delilah. Pictured: Kanye West, Julia Fox BACKGRID USA 13 JANUARY 2022 USA: +1 310 798 9111 / usasales@backgrid.com UK: +44 208 344 2007 / uksales@backgrid.com *UK Clients - Pictures Containing Children Please Pixelate Face Prior To Publication*
SHARE

Ni Rapper kutokea nchini Marekani, Kanye West ambae time hii amerudi tena katika vichwa vya habari baada ya kumbusu hadharani mpenzi wake wa sasa aitwae Julia.

Wawili hao wameuthibitishia umma na kuamua kuweka wazi mahusiano yao mbele ya waandishi wa habari.

Hapo awali Kanye West alikuwa kwenye mahusiano na  mzazi mwenzake, Kim Kardashian ambae baadae mitandao iliripoti wawili hao kuvunjika kwa penzi lao.

Sasa kupitia video hii wengi wamehoji na kusema huenda Kanye anaamua kurusha vijembe ama kumuumiza roho Kim Kardashian.

Kwa upande wa Kim ameonekana kuwa na ukaribu usio wa kawaida na mchekeshaji Peter Davidson ambapo inatafsiriwa kuwa huenda wawili hao wakawa wapo katika mahusiano.

.
.
.
.
.
.

MAJIBU YA NANDY KWA MENINA, BILLNAS AMUITA RIHANA WA VINGUNGUTI

You Might Also Like

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

TAGGED: Kanye West
Edwin TZA January 14, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Morrison baada ya Ubingwa, Kiswahili chake tu ndio kinafurahisha (video+)
Next Article Live:Rais Saia akipokea hati za utambulisho kutoka kwa mabalozi wateule wa nchi nne
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”
Top Stories March 22, 2023
“Serikali kutenga Fedha kulinda hadhi ya urithi wa Mji mkongwe Zanzibar”- Rais Mwinyi
Top Stories March 22, 2023
Vurugu zilizotokea Mgodini mirerani, wataalamu wa Dodoma wazama migodini
Top Stories March 22, 2023
‘Serikali kutumia Matokeo ya tafiti kwa maslahi ya Taifa’- Rais Mwinyi
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”

March 22, 2023
Top Stories

“Serikali kutenga Fedha kulinda hadhi ya urithi wa Mji mkongwe Zanzibar”- Rais Mwinyi

March 22, 2023
Top Stories

Vurugu zilizotokea Mgodini mirerani, wataalamu wa Dodoma wazama migodini

March 22, 2023
Top Stories

Guterres: Kwenye maadhimisho ya siku ya Maji duniani, “mahitaji yanaongezeka tutunze rasilimali za maji”.

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?