Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mwanamke mwizi aiba gari ya polisi baada tu ya kukamatwa…ilikuaje?
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mwanamke mwizi aiba gari ya polisi baada tu ya kukamatwa…ilikuaje?
Top Stories

Mwanamke mwizi aiba gari ya polisi baada tu ya kukamatwa…ilikuaje?

September 12, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Katika hali ya kuchekesha kama si ya kushangaza hivi karibuni, mwanamke mmoja  huko Texas nchini Marekani aitwaye Toscha Fay Sponsler mwenye umri wa miaka 33 aliyekuwa amekamatwa na polisi na kufungwa pingu kisha kuwekwa kwenye gari ya polisi hao alijifungua pingu alizokua amefungwa na kuondoka na gari hiyo kwa mwendo wa kasi.

Kabla ya tukio hilo mwanamke huyo alikua amekamatwa kwa kosa la kuiba vitu dukani yaani wakati anafanya shopping na baada ya polisi kumkamata kwa kosa hilo na kumwingiza kwenye gari yao hiyo wakiwa wamemfunga pingu na askari hao kuendelea na shughuli zao nyingine, walishangaa kuona baada ya dakika chache gari yao inaondolewa na mwanamke huyo.

Maaskari hao walijaribu kukimbiza gari hiyo kwa kutumia gari nyingine na baada ya mwendo wa dakika ishirini mwanamke huyo alishindwa kuendelea kuendesha gari hiyo na ndipo maaskari hao walipomkamata na kumtia mbaroni tena.

Uliiona hii? Walioiba gari Kenya wamelirudisha wakiwa uchi wa mnyama

You Might Also Like

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

TAGGED: Marekani, TZA HABARI, vituko
Admin September 12, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Agizo la Spika Job Ndugai kuhusu Zitto Kabwe na Saed Kubenea
Next Article ”Tulipekua jikoni, tukakuta bangi juu ya Kabati” – Shahidi kesi ya Wema Sepetu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
Magazeti June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

June 2, 2023
Top Stories

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

June 2, 2023
Sports

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?