Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: VIDEO: Kocha wa Simba SC kathibitisha, John Bocco inabidi apelekwe Afrika Kusini
Share
Notification Show More
Latest News
Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam
August 8, 2022
Kizz Daniel kutotokea kwenye show, Str8upvibes watoa tamko
August 8, 2022
Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu
August 8, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 8, 2022
August 8, 2022
International Marathon yaacha historia Zanzibar
August 7, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > VIDEO: Kocha wa Simba SC kathibitisha, John Bocco inabidi apelekwe Afrika Kusini
AyoTVSports

VIDEO: Kocha wa Simba SC kathibitisha, John Bocco inabidi apelekwe Afrika Kusini

November 5, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Kocha Mkuu wa Simba SC ameweka wazi leo wakiwa mazoezini Gymkhana kujiandaa na mchezo wa Alhamisi ya November 7 2019 uwanja wa Uhuru dhidi ya Tanzania Prisons, kuwa mshambuliaji wake John Bocco licha ya kupatiwa matibabu kwa miezi miwili na kufanya mazoezi mepesi lakini bado anasikia maumivu na sasa ataenda Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.

“Unajua Bocco tatizo lake amekuwa akisumbuliwa kwa zaidi ya miezi miwili sasa na amekuwa majeruhi, bado anasikia maumivu hiyo sio habari njema ila tutampeleka Afrika Kusini akaangaliwe tena na anahitaji kupata ushauri tena kwa mtaalum”>>> Patrick Aussems

Simba SC sasa kwa mujibu wa kocha Patrick Aussems ni kuwa imekuwa na mshambuliaji mmoja pekee Meddie Kagere ndio mzima wakati washambuliaji wake wawili Wilker Da Silva na Miraj Athuman wanaungana na John Bocco katika list ya majeruhi.

VIDEO: BAADA YA KUFUKUZWA AYO TV IMEMFUATA ZAHERA KWAKE “SIJAPEWA BARUA”

You Might Also Like

Picha 19: Uzinduzi wa Jezi mpya za Simba SC, Mashabiki wafurika Dukani DSM

Simba wafunga usajili kwa kishindo, washusha mshambuliaji kutoka Ulaya

Manara amuingiza Hersi kwenye 18 za TFF

Haji Manara amtambulisha Aziz Ki kama Mfalme, ambusu magoti, amfunga viatu

Wachezaji wa Yanga walivyozunguka uwanja, Aziz ki ndani (video+)

TAGGED: Ayo TV, AyoTV, Soka bongo
Rama Mwelondo TZA November 5, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Zahera kafunguka Mwenyekiti Yanga(DR Msolla) kakiuka ahadi yake
Next Article Ujio wa Rapper Cardi B Afrika mwezi Desemba, nchi mbili kushuhudia burudani yake
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam
Mix August 8, 2022
Kizz Daniel kutotokea kwenye show, Str8upvibes watoa tamko
Top Stories August 8, 2022
Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu
Mix August 8, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 8, 2022
Magazeti August 8, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 7, 2022

August 7, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 6, 2022

August 6, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 5, 2022

August 5, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 4, 2022

August 4, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?