
Uwanja wa Mkwakwani uliopo Jijini Tanga umefurika mashabiki waliojitokeza kushuhudia mechi hiyo iliyokuwa inachezwa kati ya wenyeji Coastal Union dhidi ya mabingwa Yanga.
Kutokana na hali hiyo ililazimu utaratibu wa kawaida uanze kutumika kwa mashabiki kuingia na tiketi kuchanwa kama kawaida, kitu ambacho hakikuwa kimepangwa.
Source:Salehjembe.