Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Unataka kujua takwimu za Ajali za Treni Tanzania mwaka 2013? ziko hapa
Share
Notification Show More
Latest News
Video: Mo Dewji alivyokutana na Wachezaji wa Simba , kuelekea mchezo dhidi ya Yanga
August 13, 2022
Picha: Kinachojiri kwa Mkapa kwenye mechi ya Watani wa jadi ‘Simba na Yanga’
August 13, 2022
Kizz Daniel alivyopanda jukwaani na bendera ya Tanzania, Watanzania wamsamehe kwa yale yaliyotokea
August 13, 2022
Video: Hamisa Mobetto aonesha gari jipya alilonunuliwa na mpenzi wake
August 13, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022
August 13, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Unataka kujua takwimu za Ajali za Treni Tanzania mwaka 2013? ziko hapa
Mix

Unataka kujua takwimu za Ajali za Treni Tanzania mwaka 2013? ziko hapa

January 4, 2014
Share
2 Min Read
SHARE

Screen Shot 2014-01-05 at 12.23.05 AMKamanda Saada Haji ambae ni kamanda wa kikosi cha reli Tanzania ameanza kwa kusema ‘jumla ya ajali 79 zinazohusisha Treni zilitokea mwaka 2013 katika mikoa tofauti ambapo hata hivyo ajali nyingi kati ya hizo zimetokana na uzembe wa watu kwenye kulewa, kukaa juu ya reli kuweka headphone na kutembea juu ya reli’

‘Hii ni pamoja na madereva wa magari kukosa umakini wa kufuatilia alama za barabarani kwa kuendesha mwendo kasi hata mahali penye makutano ya barabara ya gari na treni na hasa linalofanya safari zake ndani ya jiji la Dar ndiyo ambalo kwa sasa linahusisha vifo vya watu wengi kwa muda mfupi tangu kuanza kwa safari zake’ – Kamanda

Amesema mpaka sasa watu 8 wamekufa huku wengine wakijeruhiwa ambapo eneo hatari linaloongoza kwa matukio ya ajali ni Daraja la Buguruni kwa Mnyamani akitaja sababu kubwa wananchi wengi hujisahau na kukatiza juu ya reli kwa kuwa treni huwa halina breki za papo kwa papo basi hutokea vifo au majeruhi wengi yenye ulemavu wa kudumu pia’

Screen Shot 2014-01-05 at 12.24.56 AMKuhusu matukio mengine, yako 285 ya uhalifu yaliyotokea katika mikoa ya Morogoro, Dodoma, Itigi, Tabora,Mwanza,Kigoma,Mpanda na Dar es salaam ambayo yamekua yakitokea maeneo ya reli na ndani ya treni.

Kamanda amesema’Polisi wa kikosi hiki wamekuwa wakipambana kikamilifu kuna siku walifanikiwa kukamata mabegi yaliyowekea bangi ambapo mtuhumiwa alifikishwa mahakamani, Polisi hawo pia waliwahi kumbaini mhalifu mmoja aliyekuwa na amebeba silaha isivyo halali  ndani ya treni ambaye alikurupuka na kuitelekeza silaha hiyo’

Hii stori imeandikwa na gazeti la Mwananchi.

You Might Also Like

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam

Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu

Millard Ayo January 4, 2014
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Unaweza kujishindia laki tatu kutoka kwa Ommy Dimpoz kwa kufanya hivi.
Next Article Matokeo ya Kombe la FA kwa mechi za leo.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: Mo Dewji alivyokutana na Wachezaji wa Simba , kuelekea mchezo dhidi ya Yanga
Sports August 13, 2022
Picha: Kinachojiri kwa Mkapa kwenye mechi ya Watani wa jadi ‘Simba na Yanga’
Sports August 13, 2022
Kizz Daniel alivyopanda jukwaani na bendera ya Tanzania, Watanzania wamsamehe kwa yale yaliyotokea
Entertainment August 13, 2022
Video: Hamisa Mobetto aonesha gari jipya alilonunuliwa na mpenzi wake
Entertainment August 13, 2022

You Might also Like

Entertainment

Kizz Daniel alivyopanda jukwaani na bendera ya Tanzania, Watanzania wamsamehe kwa yale yaliyotokea

August 13, 2022
Entertainment

Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani

August 12, 2022
Entertainment

Nandy ametuletea hii video mpya ya wimbo wake akiwa na Oxlade ‘Napona’

August 11, 2022
Entertainment

Meneja wa Diamond ‘Sallam’ atia neno baada ya Kizz Daniel kuwaomba radhi watanzania

August 10, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?