Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi Hamza Chilo ameweza kufunga mafunzo ya uongozi ngazi ya wa wakaguzi wasaidizi wa polisi katika Shule ya Polisi Moshi mkoani Kilimanjaro ambapo Askari waliweza kuhitimu huku Askari wakionyesha umahiri pamoja na ukakamavu.
Umahiri walionyesha Askari mbele ya IGP, CDF Mabeyo (+video)
Leave a comment
Leave a comment