Ikiwa Julai 7 ni siku ya maadhimisho ya Kiswahili Duniani sasa hapa nimekusogezea Kumbukizi ya Hayati John Pombe Magufuli ufahamu alichowahi kuzungumza kuhusu kuwataka watanzania kuthamini Lugha ya Kiswahili yaani kuonesha Uzalendo juu ya lugha hii.
Video: Leo ni siku ya maadhimisho ya Kiswahili Duniani, Kumbukizi hii ya JPM itakutoa machozi
Leave a comment
Leave a comment