Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, William Lukuvi amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla kwa jitihada anazofanya kutatua Migogoro ya Ardhi na anaamini kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya inakwenda kumaliza Migogoro Jijini humo.
TZA