Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Wizara ya Afya yatoa taarifa juu ya ugonjwa wa Uviko-19
Share
Notification Show More
Latest News
Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli
June 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Wizara ya Afya yatoa taarifa juu ya ugonjwa wa Uviko-19
Top Stories

Wizara ya Afya yatoa taarifa juu ya ugonjwa wa Uviko-19

April 8, 2022
Share
2 Min Read
SHARE

Wizara ya Afya inaendelea kutoa taarifa kwa umma kuhusu hali ya ugonjwa wa UVIKO-19 nchini ambapo katika kipindi cha tarehe 05 Machi hadi 03 Aprili 2022, kuna jumla ya maambukizi mapya 116 ya waliothibitika kuwa na maambukizi kati ya Watu 25,890 waliopimwa ambayo ni sawa na asilimia 0.45.

“Tukumbuke kuwa ugonjwa huu kwa mara ya kwanza ulitolewa taarifa hapa nchini mnamo mwezi Machi 2020 na kufikia tarehe 03 Aprili 2022 watu 33,842 walikuwa wamethibitishwa kuwa na maambukizi kukiwa na jumla ya vifo 803, katika kipindi cha 05 Machi hadi 03 Aprili, 2022, Mkoa wa Dar es Salaam umeendelea kuwa na idadi kubwa ya watu waliothibitika kuwa na maambukizi (watu 70) sawa na asilimia 60.3 ya maambukizi hayo”

“Katika kipindi cha tarehe 05 Machi hadi tarehe 03 Aprili 2022, jumla ya wagonjwa wapya 22 walilazwa, wagonjwa hawa wote walikuwa hawajachanjwa, aidha kwa siku ya tarehe 03 Aprili 2022, wagonjwa mahututi walikuwa wawili (02) na wote walikuwa hawajapata chanjo ya aina yoyote ya kukinga dhidi ya UVIKO – 19”

“Katika kipindi cha taarifa hii, jumla ya vifo vitatu (03) vimeripotiwa kutoka mikoa ya Dar es Salaam (2) na Mwanza (1), Idadi hii inaonyesha kupungua kutoka vifo nane (8) vya mwezi uliotangulia, vifo vyote vilivyoripotiwa vilikuwa vya wagonjwa ambao hawakupata chanjo ya aina yoyote ya kukinga dhidi ya UVIKO – 19”

KOREA KASKAZINI YAMUUNGA MKONO PUTIN, TANZANIA YAENDELEA KUSIMAMA KATIKATI, KENYA WABADILI MSIMAMO

You Might Also Like

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

Edwin TZA April 8, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kijana wa miaka 25 kuoa bibi mwenye miaka 85
Next Article Gari lateketea kwa moto, abiria 50 wanusurika
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli
Top Stories June 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
Magazeti June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli

June 3, 2023
Top Stories

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

June 2, 2023
Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?