Baada ya siku tano kupita tangu aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa atangaze kuhama chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) na kurudi Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo March 6 2019 Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Msajili wa Vyama Vya Siasa Prof. Ibrahim Lipumba amezungumza na vyombo vyya habari kuzungumzia Lowassa kurudi CCM.
Prof. Lipumba azungumzia ishu ya Lowassa kurudi CCM
Leave a comment
Leave a comment