Chuo Kikuu cha Dar es salaam kimesema kuwa kimemsimamisha chuo Abdul Nondo kufuatana na kanuni za chuo za wanafunzi ambazo zinasema kuwa kama mwanafunzi atafikishwa mahakamani kwa tuhuma zozote inabidi asimamishwe masomo mpaka hapo kesi yake itakapomalizika na atakapopatikana hana hatia atarudishwa masomoni
BREAKING: Kauli ya Uongozi UDSM kuhusu kusimamishwa Chuo kwa Abdul Nondo
Leave a comment
Leave a comment