Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Bado mambo sio mazuri FC Barcelona wamekubali kipigo tena leo April 17 2016 (+Video)
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Ajali ya Basi yaua watano Singida, Polisi azungumza hali ya Majeruhi
August 18, 2022
Huyu ndiye Rais aliyekataa mshahara wake kwa miezi nane, Ukali wake baada ya meya kununuliwa VX
August 18, 2022
Utacheka vituko vya RC Makongoro, agusia Uongozi wa JPM, “Sijaambulia kitu, ila Mama kanipa heshima”
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Bado mambo sio mazuri FC Barcelona wamekubali kipigo tena leo April 17 2016 (+Video)
Sports

Bado mambo sio mazuri FC Barcelona wamekubali kipigo tena leo April 17 2016 (+Video)

April 17, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

April 17 2016 Ligi Kuu Hispania iliendelea kama kawaida kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali, mchezo kati ya FC Barcelona dhidi ya Valencia ndio ulikuwa wa kuvutia zaidi kwani mashabiki wa soka walikuwa wana hamu ya kufahamu kama FC Barcelona atakubali kipigo tena Nou Camp baada ya kufungwa na Madrid April 2.

Bado mambo sio mazuri kwa FC Barcelona leo April 17 2016 wamekubali kipigo cha goli 2-1 dhidi ya Valencia katika uwanja wao wa Nou Camp, hivyo hilo ni pigo tena baada ya siku chache tu zimepita toka waondolewe katika michuano ya klabu Bingwa Ulaya na klabu ya Atletico Madrid.

3347267600000578-0-image-a-1_1460921203091

Valencia walianza kufunga goli dakika ya 26 kupitia kwa mchezaji wa FC Barcelona Ivan Rakitic kujifunga, goli ambalo liliwafanya FC Barcelona kuhangaika kusawazisha ila Valencia wakafunga goli la pili dakika ya 45 kupitia kwa  Santi Mina ila Lionel Messi dakika ya 63 aliipatia FC Barcelona goli la kufutia machozi.

Kwa matokeo hayo FC Barcelona ambao awali walikuwa wameziacha timu za Atletico Madrid na Real Madrid kwa point zaidi ya 5, wametoa nafasi ya nafasi ya kuwania Ubingwa kwa timu hizo kwani FC Barcelona anaongoza Ligi kwa tofauti ya magoli akiwa na point 76 sawa na Atletico, huku Real Madrid wakiwa na point 75.

Video ya magoli ya FC Barcelona vs Valencia, Full Time 1-2

https://youtu.be/HZAL9Cg11-Y

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

VIDEO YA GOLI LA NNE LA MBWANA SAMATTA AKIWA NA KRC GENK YA UBELGIJI

You Might Also Like

Samatta amerejea KRC Genk ya Ubelgiji

Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

TAGGED: soka ulaya
Rama Mwelondo TZA April 17, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VideoMPYA: Mad Ice anatualika kuitazama video yake mpya ‘Delilah’
Next Article Video ya goli la mechi ya Simba vs Toto Africans April 17 2016, Full Time 0-1
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
Mix August 18, 2022
Ajali ya Basi yaua watano Singida, Polisi azungumza hali ya Majeruhi
Top Stories August 18, 2022
Huyu ndiye Rais aliyekataa mshahara wake kwa miezi nane, Ukali wake baada ya meya kununuliwa VX
Top Stories August 18, 2022

You Might also Like

Top Stories

Ajali ya Basi yaua watano Singida, Polisi azungumza hali ya Majeruhi

August 18, 2022
Top Stories

Utacheka vituko vya RC Makongoro, agusia Uongozi wa JPM, “Sijaambulia kitu, ila Mama kanipa heshima”

August 18, 2022
Top Stories

Shaka: CCM inafuatilia kwa karibu utekelezaji mkakati wa kuwakwamua vijana

August 18, 2022
Top Stories

Jamaa ajikata koromeo makusudi aeleza sababu ‘Maisha ni magumu, ajira zinasumbua’

August 17, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?