Vilabu vya Simba na Azam leo vimeanza mazoezi kuelekea kuanza tena kwa muendelezo wa mechi za Ligi Kuu Tanzani bara 2019/20, Azam FC inawakosa baadhi ya nyota wao wa kigeni ikiwemo kocha na Simba SC inawakosa Chama na Kahata.
PICHA: Azam FC na Simba SC zote zaanza mazoezi
Leave a comment
Leave a comment