Waziri wa madini Dotto Biteko ametoa onyo kwa wafanyabiashara wanaotorosha madini nakusema wapo wafanyabiashara 12 wanaojihusisha na utoroshaji wa madini na wamefuatiliwa kwa kipindi cha miezi mitatu.
Waziri Biteko: “wapo wafanyabiashara 12 wanaotorosha madini”
Leave a comment
Leave a comment