Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
Siku kama ya leo miaka 67 iliyopita sawa na tarehe 20 Machi 1956,…
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
Serikali ya Taliban imetangaza rasmi kuwa, kwa mujibu wa hukumu ya kiongozi…
Mlipuko wa polio watangazwa nchini Burundi kulingana na ripoti ya WHO
Visa vya virusi vya polio vinavyotokana na aina ya 2 (cVDPV2) vimegunduliwa…
Rapa Snoop Dogg azindua lebo yake mpya ya kahawa “INDOxyz”
Rapa na mjasiriamali Snoop Dogg ameamua kupanua himaya yake ya biashara tena,…
UNECA: Uchumi wa Afrika kukua kwa asilimia 3.9 mwaka huu.
Kamati ya Uchumi wa Afrika ya Umoja wa Mataifa (UNECA), imesema uchumi wa Afrika…
Serikali ya New Zealand kupiga marufuku matumizi ya Tik Tok bungeni.
New Zealand hivi karibuni itapiga marufuku TikTok kwenye vifaa vyote vinavyoweza kufikia…
JAPAN : Mbunge afukuzwa kwa kutohudhuria vikao vya bunge tangu Uapisho wake.!
Bunge la nchini Japan limemfukuza bungeni mbunge mmoja ambaye pia ni mwanablogu…
Gianni Infantino achaguliwa tena kuwa Rais FIFA.
Gianni Infantino alichaguliwa tena kuwa rais wa FIFA wakati wa Kongamano la…
FIFA : Uwanja wa michezo wa Pele mjini Kigali wazinduliwa rasmi.
Uwanja huu umefunguliwa kongamano la FIFA la 73 linalowajumuisha wajumbe 2,000, likitarajiwa…
NIGERIA: Sensa ya kwanza kufanyika mwezi Mei baada ya miaka 17.
Nigeria sasa itafanya sensa yake ya kwanza katika kipindi cha miaka 17…