Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: BASATA yaingilia kati yanayoendelea kwa wasanii sakata la Harmonize
Share
Notification Show More
Latest News
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > BASATA yaingilia kati yanayoendelea kwa wasanii sakata la Harmonize
Habari za Mastaa

BASATA yaingilia kati yanayoendelea kwa wasanii sakata la Harmonize

April 14, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Baraza la Sanaa la Taifa BASATA leo April 14,2021 limetoa tamko kutokana na yale yanayoendelea mtandaoni kuhusu wasanii wa muziki wa Bongofleva, baada ya Harmonize kuachana na  aliyekuwa mpenzi wake Mwigizaji Kajala na kupelekea kuibuka mambo mengi.

Taarida hiyo ya BASATA imeeleza juu ya kusikitishwa kwa balaza hilo kuhusu yanayoendelea kwa wasanii juu ya Lugha sizizo za stahaa, malumbano na kukashifiana huku baraza likiwataka wasanii hao ‘kuacha mara moja’.

Hata hivyo msanii Baba Levo amethibitisha kuitwa na Baraza hilo huku Harmonize amedai atawafikisha mahakamani wale wote wanaohusika kwenye kumchafua.

Bonyeza PLAY hapa chini kupata taarifa.

You Might Also Like

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

Harmonize aibua mapywa, afichua ya Dada wa Diamond, aeleza alivyoshiriki kwenye wimbo huu mpya

Tazama Diamond ‘Sheikh Mansoor’ akiwapokea Watoto wake Airport na Rolls Royce ‘Tiffah na Nillah’

TAGGED: bongoflevanews
Victor Kileo TZA April 14, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article LIVE: Boss mpya TCRA anazungumzia ishu ya vifurushi kupanda bei
Next Article PICHA: Weusi wakiwa kwenye pozi la pamoja na watoto wao
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
Top Stories June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

June 2, 2023
Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Sports

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?