Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 19, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 19 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Magoli manne yaliyoipeleka Argentina nusu fainali ya Copa America 2016
Najua mtu wangu wa nguvu tayari umetazama mechi za Euro 2016 zilizochezwa June 18, lakini usisahau kuwa alfajiri ya June 19 usisahau kuwa michuano maalum ya maadhimisho ya miaka 100…
Simba watatu wamehukumiwa kifungo cha maisha
Kwa kawaida wanyama wakali kama Simba, Chui, na wengine huwekwa chini ya usimamizi mkali endapo kukiwa na hatari ya kudhuru binadamu ama wanyama wanaowazunguka. Ila taarifa za kuwahukumu simba watatu…
PICHA: Maisha ya Ureno Euro 2016 yanahitaji ushindi dhidi ya Hungary
Kama ni mpenzi wa michuano ya Euro 2016, usisahau kuwa kuna michezo mitatu imechezwa June 18 2016, moja kati ya mchezo uliochezwa usiku wa June 18 ni mchezo kati ya…
Video: Mambo yakufahamu baada ya Paul Makonda kukutana na Waziri wa Tamisemi
Waziri wa Tamisemi, George Simba chawene ameunganiaka na wakazi wa Dar es salaam kuteleza pamoja kwenye mabasi yaendayo haraka Dar ambapo aliongozana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda Kutokea…
Usitarajie kumuona Hassan Kessy akiichezea Yanga kesho dhidi ya MO Bejaia
Bado siku moja klabu ya Dar es Salaam Young Africans icheze mchezo wake wa kwanza wa Kundi A wa hatua ya nane bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho barani…
VIDEO: Lowassa kaeleza alichochozungumza na TB Joshua, kutoridhishwa na NEC
Aliyekuwa mgombea wa Urais kupitia CHADEMA kwa mwamvuli wa UKAWA Edward Lowassa amehutubia mahafali ya CHADEMA Student Organization ‘CHASO’ ambapo amesema hajaridhishwa na matokeo ya uchaguzi mkuu 2015 na kaeleza…
VIDEO: CCM wametangaza siku ya kumkabidhi uenyekiti Rais Magufuli
Chama cha mapinduzi CCM kinatarajiwa kufanya mkutano wake mkuu wa makabidhiano ya uenyekiti kutoka kwa mwenyekiti wa sasa Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Kikwete na kumkabidhi Rais Dk…
Kingine kilichosemwa na CCM leo June 18 2016
Chama cha mapinduzi CCM kinatarajiwa kufanya mkutano wake mkuu wa makabidhiano ya uenyekiti kutoka kwa mwenyekiti wa sasa Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Kikwete na kumkabidhi Rais Dk…
Lowassa kafunguka alichozungumza na TB Joshua baada ya matokeo ya uchaguzi 2015
Aliyekuwa mgombea wa Urais kupitia CHADEMA kwa mwamvuli wa UKAWA Edward Lowassa amehutubia mahafali ya CHADEMA Student Organization 'CHASO' ambapo amesema hajaridhishwa na matokeo ya uchaguzi mkuu 2015 na kaeleza…