Majibu ya Makamu Mkuu wa chuo cha St Francis kuhusu kuwafukuza wanafunzi
Ishu za wanafunzi vyuoni kufukuzwa na migomo zimezidi kuchukua headlines ambapo baada ya UDOM na UDSM, taarifa niliyoipata ni kutokea Kilombero, Ifakara kwenye chuo kikuu kishiriki cha tiba na afya…
VIDEO: Meno ya gold ya Diamond yaonekana akimuongelea Harmonize na Korede
Kupitia Twitter yake Diamond aliandika kuhusu ngoma itayowakutanisha wakali wawili ambao ni Harmonize wa Tanzania na Korede wa Nigeria, sasa AyoTV imempata kwenye Exclusive Interview na kuelezea ambapo pia muonekano…
TB Joshua katoa msaada kwa Watanzania na kumkabidhi mama Magufuli
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli amemshukuru nabii TB Joshua wa Nigeria kwa msaada alioutoa kwa Tanzania baada ya kuongea nae na kumueleza maono yake. Mama Janeth amesema ‘Namshukuru kwa…
EXCLUSIVE: Jibu alilotoa Aunty Ezekiel kuhusu ndoa na Mose Iyobo
Mwigizaji wa bongo movie Aunty Ezekiel amekaa kwenye Exclusive Interview na AyoTV na moja ya maswali ameulizwa ni kuhusu ndoa na Baba mtoto wake aitwae Mose Iyobo ambaye ni dancer…
Wanafunzi waliochafua picha ya Rais na kuandika matusi wasimamishwa masomo Burundi
Jeshi la Burundi limewasimamisha masomo Wanafunzi wa darasa la nane baada ya kuzichorachora vibaya picha za raisi wa Burundi Pierre Nkurunziza ambapo waliosimamishwa ni zaidi ya 300 ambapo pamoja na kuzichorachora, wameziharibu…
Faini kwa watakaogonga mabasi yaendayo haraka hii hapa
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini Moja ya story kubwa…
African top 10 ya Trace tv ina ngoma kali 2 kutoka Tanzania, June 2 2016.
Trace Urban imeendelea kuwa kituo kikubwa cha burudani ambayo imesambaa kwenye huduma ya kulipia iliopo ndani ya mataifa mengi barani Afrika ikiwa na watazamaji wengi kutokana na kupiga ngoma kali…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 3, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 3 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Manji kataja majina ya wanaohujumu uchaguzi wa Yanga kabla ya kuchukua fomu
Siku moja baada ya katibu mkuu wa Yanga Baraka Deusdedit na afisa habari wa Yanga Jerry Muro kutangaza kuwa uchaguzi wao utasimamiwa na wao wenyewe na sio shirikisho la soka…
UKIMWI wa Paka umegunduliwa kwenye nchi ya Kenya
Kwenye nchi ya Kenya virusi hatari aina ya FIV vinaavyofanana kabisa na virusi vya HIV vinavyosababisha UKIMWI vimegunduliwa katika paka mmoja ikiwa ni baada ya uchunguzi wa kina wa damu ya…