Ungana na Alice Tupa wa Ayo TV kwenye uchambuzi wa magazeti Nov 3 2016
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=bDdqN2kOvnQ ULIKOSA HII YA SHIRIKISHO LA VYUO…
Magazeti ya Tanzania November 3, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
November 3 2016 naanza kukusogezea post zote kubwa kwenye zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye,Udaku, Hardnews na Michezo ili uje kinachoendelea Mtu wangu usiache kukaa karibu yangu kwenye Facebook, Twitterna…
VIDEO: Goli la Simba ilipocheza na Stand United Nov 2 2016, Full Time 0-1
November 2 2016 Simba walicheza mchezo dhidi ya Stand United katika uwanja wa Kambarage Shinyanga, Simba wakiwa katika uwanja huo wamefanikiwa kuwa timu ya kwanza msimu huu kumfunga Stand United…
VIDEO: Real Madrid yalazimishwa sare UEFA, Cheki matokeo ya mechi za Nov 2 2016
Usiku wa November 2 2016 hatua ya makundi round ya nne ya michuano ya UEFA Champions League iliendelea kama kawaida kwa michezo nane kuchezwa, Real Madrid wao walikuwa wageni wa…
VIDEO: ‘Serikali imeturudisha kwenye mfumo, sasa kifanyike kifuatacho’ – MP MAKAMBAKO
Bungeni Dodoma vikao vimeendelea tena leo November 2 2016 ambapo miongoni mwa watu waliosimama na kuchangia ni Mbunge wa Makambako Deo Sanga unaweza kumtazama kwenye hii video hapa chini https://www.youtube.com/watch?v=dw4pzyShYN4…
PICHA 20: Bondia Thomas Mashali alivyozikwa Kinondoni
November 2, 2016 mwili wa bondia maarufu wa ngumi za kulipwa Tanzania Thomas Mashali umezikwa na ndugu, jamaa na mashabiki wa mchezo wa ngumi kwenye makaburi ya Kinondoni Dar es…
Burundi sasa hivi hadi Baiskeli zinaanza kulipiwa parking
Baada ya nchi za magharibi zinazofadhili Burundi kuonesha kutopenda hatua ya Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kuwania Urais kwa muhula wa tatu, pamoja na kutumia nguvu kuzima maandamano na hivyo…
Yanga wakubali kipigo cha pili msimu huu dhidi ya Mbeya City
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu soka Tanzania bara, leo November 2 2016 walishuka katika uwanja wa Sokoine Mbeya kucheza dhidi ya wenyeji wao Mbeya City katika mchezo wao wa 13…
Simba timu ya kwanza kutoka na ushindi dhidi ya Stand United Kambarage
Ligi Kuu soka Tanzania bara msimu wa 2016/2017 umeendelea kwa michezo sita kupigwa katika viwanja mbalimbali Tanzania, wakati Mabingwa watetezi Yanga wakiwa Mbeya kucheza dhidi ya Mbeya City, watani zao…
U HEARD: Dogo Janja na Agnes Masogange ni couple mpya town?
U Heard ya XXL Clouds FM leo November 2, 2016 Soudy Brown amemvutia waya staa wa single ya Kidebe, Dogo Janja ambaye inadaiwa yuko kwenye uhusiano wa kimapenzi na staa mwingine…