VIDEO: Shirikisho la vyuo vikuu lataja hujuma bodi ya mikopo
Wakati suala la mikopo ya elimu ya juu likizidi kuchukua headline, Leo November 02 2016 Shirikisho la wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu Tanzania limetoa siku saba kwa serikali…
VIDEO: Kitu Jaji Mchina na Miss TZ 2014 wanataka Watanzania wajue kuhusu ushindi wa Miss TZ 2016
Shindano la Miss Tanzania 2016 lilimalizika kwenye fainali iliyofanyika Mwanza Tanzania weekend iliyopita mshindi akiwa ni Diana Lukumay ambapo baada ya ushindi wake kumekua na maneno mengi kuhusu ushindi wake na hapa ufafanuzi unatolewa,…
VIDEO: Bondia Thomas Mashali alivyozikwa leo Kinondoni Dar es salaam
Bondia wa Tanzania Thomas Mashali amezikwa kwenye makaburi ya Kinondoni Dar es salaam leo, aliuwawa usiku wa October 30 2016 Kimara Dar es salaam kwa kupigwa mapanga na mawe baada…
VIDEO: Dakika 12 za Hussein Bashe bungeni kuhusu Wizara ya fedha
Ni mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe aliyoyaongea wakati akichangia hotuba ya wizara ya fedha na mipango kwa maendeleo ya taifa kwa mwaka wa fedha 2016/2017, mchango wake unaweza kuutazama kwenye hii…
Nchi 5 nje ya Afrika zenye vijana wengi ambao hawasomi na hawana kazi
Ni orodha kutoka mtandao wa OECD Data uliozitaja nchi tano duniani zenye idadi kubwa ya watu ambao hawasomi, hawana mafunzo ya aina yoyote na hawana kazi. Data za watu hao zinaonyesha vijana wenye…
VIDEO: Wasamaria walivyomfuta machozi Mwanafunzi wa UDSM aliyelia gazetini kwa kukosa mkopo
Alionekana kwenye Magazeti likiwemo la Mwananchi akitokwa machozi na kujifuta baada ya kuona jina lake halipo kwenye orodha ya waliopata mkopo chuo kikuu cha Dar es salaam, jina lake ni Edson…
Alice Tupa wa Ayo TV ameshazisoma habari zote kubwa za magazeti Nov 2 2016
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=AZfm0kBlCmQ ULIKOSA KUHUSU TAHARUKI YA MOTO ULIOLIPUKA…
Magazeti ya Tanzania November 2, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
November 2 2016 naanza kukusogezea post zote kubwa kwenye zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye,Udaku, Hardnews na Michezo ili uje kinachoendelea Mtu wangu usiache kukaa karibu yangu kwenye Facebook, Twitterna…
VIDEO: Kuhusu taharuki ya Moto uliolipuka kwenye bandari ya DSM
Leo Nov 1 2016 katika Bandari ya Dar es salaam kumetokea moto ambao umezua taharuki kwa baadhi ya wafanyakazi na watu wengine waliokuwa eneo hilo la bandari. Moto huo uliolipuka kwenye…
VIDEO: Ulipofikia utekelezaji wa Maagizo ya Rais Magufuli kwenye hospitali ya Muhimbili
November 9 2015 ikiwa ni siku nne baada Rais Magufuli kuapishwa alifanya ziara katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na kukutana na changamoto kadhaa ambapo alitoa maagizo kwa Uongozi wa Hospitali…