VIDEO: Ulipofikia utekelezaji wa Maagizo ya Rais Magufuli kwenye hospitali ya Muhimbili
November 9 2015 ikiwa ni siku nne baada Rais Magufuli kuapishwa alifanya ziara katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na kukutana na changamoto kadhaa ambapo alitoa maagizo kwa Uongozi wa Hospitali…
PICHA 10: Rais Magufuli alivyozindua barabara ya Southern By-pass Nairobi Kenya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta leo November 01 2016 wamezindua barabara ya Southern By-pass iliyojengwa kwa…
VIDEO: Kuanzia 2017 Muhimbili Hospital wanamaliza kila kitu, sio India tena
Wakati fedha nyingi zikitajwa kutumika kwa ajili ya wagonjwa mbalimbali wanaoenda kutibiwa nje ya nchi kutokana na huduma hizo kushindwa kupatikana hapa nchini. Good news leo zimetolewa na Hospitali ya…
VIDEO: ‘Wanafunzi wanaohitaji mikopo sio wote watakaopata’ – Serikali
Naibu waziri wa Elimu, sayansi na teknolojia Eng. Stella Manyanya alilazimika kusimama bungeni Dodoma kujibu swali la Mbunge wa Kilolo Venance Mwamoto aliyetaka kujua kwanini hadi sasa kuna baadhi ya…
VIDEO: Mbowe vs Waziri Mhagama bungeni leo kwenye maswali na majibu
Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania limeanza tena Dodoma leo November 1 2016 ambapo kwenye post hii nakukutanisha na kipindi cha maswali na majibu, swali limetoka kwa mbunge wa…
‘Serikali yahakiki vyeti vya ndoa, walimu wajiandaa kugoma’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. Moja…
Ungana na Alice Tupa wa Ayo TV kwenye uchambuzi wa magazeti ya Nov 1-2016
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=aAa6F0A_yQY ULIKOSA MANENO YA WAKENYA BAADA YA…
Magazeti ya Tanzania November 1, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
November 1 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS HII…
PICHA 10: Mapokezi ya Akothee Kenya, baada ya ushindi wa tuzo za AFRIMMA na AEAUSA
Muimbaji wa Kenya Akothee ambaye alimshirikisha Diamond Platnumz wa Tanzania katika hit single yake ya 'Sweet Love', amewasili Nairobi Kenya baada ya ushindi wa tuzo mbili alizoshinda nchini Marekani. Akothee…
AUDIO: Baba mzazi wa Marehemu Bondia Thomas Mashali kayaongea haya
Tanzania imepata msiba wa bondia Thomas Mashali ambaye inadaiwa aliuwawa kwa kusingiziwa kuwa mwizi eneo la Kimara Dar es salaam usiku wa October 30 2016. Polisi wamesema taarifa ya kifo…