Swali analojiuliza Samatta kuhusu kuchelewa kwa Farid Hispania
Usiku wa April 22 2016 winga wa Azam FC mtanzania Farid Musa aliondoka Tanzania na kwenda Tunisia na baadae alienda kufanya majaribio Hispania katika klabu ya Tenerife inayoshiriki Ligi Kuu…
Video: Comment ya Diamond Platnumz kwenye penzi la harmonize na Wolper
Moja kati ya couples zinazoongelewa sana kwenye mitandao ya kijamii huwezi kuacha kulitaja penzi la mastaa wawili kutoka kiwanda cha Bongomovie (Jackline Wolper) na kutoka kiwanda Bongoflevani (Hamonizer) leo October…
PICHA & VIDEO : Nike wametoa viatu vyenye uwezo wakujifunga kamba vyenyewe
Ni kazi yangu kuhakikisha haupitwi na chochote kinachotrend duniani mtu wangu na leo oct 22 2016 nakusogezea taarifa juu ya teknolijia mpya ya viatu venye uwezo wa kujifunga kamba vyenyewe.…
Video: Yakufahamu kuhusu kujiunga na The Amazing ya Izzo Bizness
Mtu wangu ni kawaida yangu kukusogezea stori zote ambazo zinachukua headlines leo October 22 2016 nakukutanisha na hii stori kutoka kwa Mkali wa midundo ya Hiphop Izzo Bizness, ameyataja mashariti…
VIDEO: Rais Magufuli alivyopiga tumba na Bendi ya msondo Ngoma
October 21 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa mabweni 20 ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha…
Habari kubwa zilizandikwa kwenye magazeti ya Tanzania October 22 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/789662780261593088…
AyoTVMAGAZETI: JPM azua balaa, vyeti 900 vyasakwa kwa siku 21, Askari feki aichanganya Polisi
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=OP6R24eJbrk ULIKOSA ASKARI POLISI FEKI ALIVYOKAMATWA MWANZA?…
Magazeti ya Tanzania October 22, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 22 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS…
VIDEO: Vitu vilivyofanya mahakama ya Kisutu izuie mkutano wa Yanga Jumapili
Najua shabiki wa soka la Tanzania kwa sasa unashauku ya kutaka kujua nini kitaamuliwa Jumapili ya October 23 2016 katika mkutano mkuu wa dharura wa Yanga, taarifa ikufikie kuwa baadhi…
INSTAGRAM: Ujumbe wa Diamond Platnumz kama ulipanga kukosa MTV MAMA 2016
Najua watu wangu wa nguvu wanahamu ya kuona tuzo za MTV Mama 2016 zinazoandaliwa na kituo cha TV cha MTV Base Africa, lakini pia inawezekana kuna baadhi ya watu ambao…