Licha ya ushindi wa Leicester dhidi ya Copenhagen, tukio hili linaweza kuwagharimu
Usiku wa October 18 2016 klabu ya Leicester City iliendeleza rekodi yao nzuri katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, hiyo ni baada ya kucheza mchezo wao wa tatu na…
Kuanzia 2017 Kila Mwanafunzi atatakiwa kuripoti Shule na Mche wa Mti.
Kwenye stori zilizonifikia leo ni pamoja na hii iliyotangazwa na Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais,Muungano na Mazingira Mh January Makamba kuwa kuanzia mwakani (2017) kila Mwanafunzi wa…
Kipaji alichoonesha Nandy alivyoperfom live wimbo wa Rihanna
Kama unavyofahamu mtu wangu Tamasha kubwa la mziki Fiesta 2016 limekuwa na jopo la mastaa kutoka bongoflevani kuzunguka mikoani Tanzania, kutoka mkoani Mbeya usiku wa Oct 16 2016 mwanadada mkali…
Vikwazo wanavyoendelea kukutana navyo watumiaji wa Samsung Note 7
Kampuni ya simu janja au Smartphone za Samsung pamoja na watumiaji wake wataendelea kuwa kwenye wakati mgumu kutokana na vikwazo vinavyoendelea kutolewa na taasisi za mashirika mbalimbali duniani kuhusu katazo…
VIDEO: Ufafanuzi alioutoa mbunge aliyedaiwa kupokea mishahara hewa ya miezi mitano
Gazeti moja la kila siku, jana liripoti likidai kuwa Mbunge wa Makete 'CCM', Prof. Norman Sigalla ambaye alikuwa mkuu wa wilaya ya Songea mkoani Ruvuma amekuwa akipokea mshahara wa ukuu wa…
Tamko la Serikali kuhusu Viza ya pamoja katika nchi za Afrika Mashariki
Baada ya kuripotiwa kuwa Serikali ya Tanzania imejiondoa kwenye mchakato wa kuwa na Viza moja itakayotumika kwa masuala ya utalii katika nchi zote za Afrika Mashariki, Wizara ya Mambo ya…
VIDEO: Jikumbushe matukio ya kuchekesha katika soka 2016
Mtu wangu wa nguvu ambaye bado unasubiri michezo ya leo October 19 2016 ya UEFA Champions League, sio mbaya ukijikumbusha na matukio madogo madogo ambayo yanachekesha katika soka, naambiwa haya…
Maneno ya Zitto baada ya mvutano wa Mbunge Lema na RC Gambo
Jana October 18 2016 kulifanyika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi katika hospitali ya mama na mtoto inayojengwa eneo ya Burka nje kidogo ya jiji la Arusha, lakini shughuli hiyo ilisimama…
Habari kubwa zilizoandikwa kwenye magazeti ya Tanzania October 19 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/788583197688856576…
AyoTVMAGAZETI: Kibano vyeti feki chatua kwa wabunge, aliyepigwa na kudaiwa kufa azinduka
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=8jDv4R-6aKQ ULIKOSA MAAMUZI HAYA YA MAHAKAMA KUU…