VIDEO: JK Comedian alivyomchekesha mtoto wa Julius Nyerere (Makongoro Nyerere)
Msanii JK Comedian amezidi kuonyesha ubora wake katika kuziigiza sauti za watu mashuhuri kwa style ya kuchekesha, JK Comedian amekuwa akialikwa sehemu mbalimbali kuburudisha watu kwa kuiga sauti za viongozi…
Zitto Kabwe akielezea alivyowasilisha muswada Mafuta, gesi ya Zanzibar
Mbunge wa Kigoma mjini na Kiongozi wa ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amewasilisha rasmi muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya 15 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu mafuta…
Magazeti ya Tanzania October 19, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 19 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS…
Ushindi mnono wa Real Madrid katika michuano ya UEFA Champions League
Burudani ya michezo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya iliendelea usiku wa October 18 2016 kwa viwanja 8 kuchezwa michezo 8 ya hatua ya makundi round ya tatu, moja kati ya…
AUDIO: Takwimu za Kichuya zilizompa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi VPL
Shirkisho la soka Tanzania TFF leo October 18 2016 kupitia kwa afisa habari wake Alfred Lucas limemtangaza Shiza Ramadhani Kichuya kuwa mchezaji bora wa mwezi September wa Ligi Kuu Vodacom,…
VIDEO: Maelezo ya RC Gambo yaliyosababisha Mbunge Lema kusimama na kumpinga
Leo October 18 2016 kumefanyika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi katika hospitali ya mama na mtoto inayojengwa eneo ya Burka nje kidogo ya jiji la Arusha, lakini shughuli hiyo…
VIDEO: Mama wa mtoto mwenye kipaji asema kwa Bukoba hajaona shule ya kumpeleka
Mtu wangu inawezekana ulikutana nacho kipande cha video ambacho kilianza kwa kusambaa mtandaoni kikimuonyesha mtoto ambaye ana uwezo wa kuwataja viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya nchi sasa wazazi…
Habari ya The Sun iliyomkwaza Raiola kuhusu Pogba na girlfriend wake
England ni moja kati ya nchi ambazo wanasoka wakubwa wanaojiunga na Ligi hiyo hupata wakati mgumu kutokana na kutajwa kuwa vyombo vya habari vya England vinawafuatilia sana, moja kati ya…
VIDEO: Mbunge Lema alivyosimama kupinga hotuba ya RC Gambo
Leo October 18 2016 kumefanyika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi katika hospitali ya mama na mtoto inayojengwa eneo ya Burka nje kidogo ya jiji la Arusha, lakini shughuli hiyo…
Rais Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi leo October 18 2016
October 17 2016 iliripotiwa taarifa iliyomhusu Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mkinga mkoani Tanga, Emmanuel Mkumbo ambapo ilisema kuwa Mkurugenzi huyo amefikishwa mahakama ya hakimu mkazi Mororgoro kwa mashtaka…