Likitekelezwa hili, Wasichana 83 wa Chibok wataachiwa huru na Boko Haram
Siku chache baada ya kuwaachia huru wasichana 21 wa Chibok, Kundi la kigaidi la Boko Haram kutoka Nigeria limeeleza juu ya utayari wake wa kuwaachia huru wanafunzi wengine wa kike waliowateka nyara…
Makubaliano 4 yaliyopitishwa kwenye kikao kati ya Serikali ya DRC na upinzani
Baada ya kuendelea hali ya machafuko na uvunjifu wa amani nchini Congo, hatimaye Serikali ya DRC imefanya kikao jana Jumatatu October 17, 2016 kati yake na upande wa Upinzani nchini…
Maamuzi ya mahakama kuu kuhusu maombi ya Mbowe kurudishwa kwenye jengo la NHC
September 1 2016 shirika la nyumba la taifa NHC lilivamia na kuondoa vifaa katika chumba cha habari cha gazeti la Tanzania Daima linalomilikiwa na Mbowe Hotels chini ya Freeman Mbowe…
Kinara wa bendi nchini Tanzania kuingia studio na Davido……
Ni headlines za mwimbaji wa bendi kutoka Akudo Impact, Taasisi Masela ambae kwasasa yupo katika maandalizi ya kutoa single zake ikiwemo matarajio ya kuwepo kwa collabo yake na msanii wa…
VIDEO: Snura aelezea uhalisia kamili wa Chura…..
October 5, 2016 msanii wa Bongo Fleva, Snura aliingia kwenye headlines baada ya wimbo wake uitwao Chura kupewa ruksa na Serikali kuchezwa katika vyombo vya radio na mitandao mbalimbali. Sasa…
Kama wewe ni mtunzaji misitu au mazingira hii inaweza kukuhusu
Kwa muda mrefu tumekuwa na kampeni nyingi za kuhamasishana kuhusu upandaji miti au utunzaji misitu na wapo baadhi ya watu wetu ambao walishawahi kufikiwa na zawadi kuhusiana na issue ya…
Young Killer alimpigia magoti producer Monaganstar? majibu yako hapa
Kama utakuwa unakumbuka wiki zilizopita kumekuwa na headlines zikisema kwamba msanii wa Hip Hop, Young Killer alimpigia magoti Monaganstar huku akimtaka wamalize tofauti zake. Sasa basi baada ya kusambaa kwa taarifa hizo…
Habari kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania leo October 18 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/788236688455790592…
AyoTV MAGAZETI: Lowassa, Jk uso kwa uso, Dawa bandia zazua balaa
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=s1j2dgYMcnQ ULIKOSA HII YA JPM KUSEMA ALITAJWA…
Maamuzi ya Serikali ya Kenya na Wasimamizi wa Ajira kuhusu mgomo wa Marubani
Baada ya kurejea kwa safari za ndege nchini Kenya, Serikali ya nchi hiyo jana October 17, 2016 asubuhi ilikutana na chama cha marubani wa ndege za Kenya Airways na usimamizi…