Video mpya 5 za BongoFleva zinazochukuwa headlines Youtube sasahivi
Kazi yangu ni kuhakikisha haupitwi na chochote kinachonifikia basi hapa ninazo video 'MPYA' 5 ambazo zinachukua headlines kwenye mtandao wa Youtube kwa sasahivi, na kama ulimiss kuzitazama basi Millardayo.com inasogezea video hizi…
Picha 8 kutoka kwenye Harusi ya Tunda Man na Sabrah Dar es salaam
Tunda Man ni miongoni mwa Waimbaji wa siku nyingi kutokea TipTop connection, nakumbuka mwaka huu mwanzoni alitoa ahadi kwamba Mungu akijalia kabla mwaka haujaisha ataingia kwenye ndoa na kweli katimiza…
Habari kubwa kwenye magazeti ya Tanzania leo October 15 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/787134210146525185…
MAGAZETI: Moto wawaka kashfa kontena 100 Bandari, Benki kuu yatetea matumizi ya Dola
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=R4ELBQ0O1Ng ULIKOSA HII YA NDEGE MPYA ZA…
Exclussive: YCEE kawataja wasanii wa Tanzania anaotamani kufanya nao collabo
Mkali anayemiliki mdundo wa Omo Alhaji kutoka Nigeria Ycee amekutana OnAir with milllardayo ambapo alikuja kufanya media tour Tanzania na amewataja wasanii kutoka Bongoflevani anaotamani kufanya nao collabo. 'Napenda kufanya collabo…
Video: Siku nne za Naj alizokaa na mama yake baraka na alichoambiwa
Mrembo kutoka Bongoflevani Naj ambaye kwa sasa ni mpenzi wa mkali anayemiliki mdundo wa 'Nisamehe' Baraka the Prince, Leo October 15 anazichukua headlines baada ya kuelezea exclusive baada ya kwenda…
Video: Diamond Platnumz kuhusu kufanya collabo na wasichana Tanzania
Mtu wangu leo October 15 2016 nakukutanisha na hii stori kutoka kwa mkali kutoka Bongoflevani Diamond Platnumz kuhusu mipango yake ya kufanaya collabo na watoto wa kike kutoka Bongoflevani na…
Magazeti ya Tanzania October 15, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 15 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.…
VIDEO: Goli la kwanza la Ngassa akicheza Fanja FC ya Oman kwa mara ya kwanza
Winga wa kimataifa wa Tanzania anayecheza soka katika klabu ya Fanja FC ya Oman Mrisho Ngassa amefanikiwa kuanza maisha yake mapya ya soka katika klabu hiyo kwa kufunga goli akicheza…
VIDEO: Goli la Jordan Henderson lililoshinda tuzo ya goli bora la mwezi EPL
Good news kwa kiungo wa kimataifa wa England ambaye anaichezea Liverpool Jordan Henderson zinazidi kuongezeka, ikiwa ni siku chache zimepita toka avae kitambaa cha unahodha wa timu ya taifa ya…