Muda atakaokaa nje ya uwanja Chidebere baada ya kuumia taya
October 14 2016 taarifa rasmi zimetoka kuhusiana na hali ya mchezaji wa Stand United Abasrim Chidiebere aliyeumia taya wakati wa mchezo wa Stand United dhidi ya Azam FC uliochezwa katika…
TRAILERS: Movie 9 utazikuta Cinema Dar es salaam leo oct 14
Nafahamu kuna wadau wangu wapenzi wa kwenda kuangalia Movies cinema, kama upo Dar es salaam sasahivi nakusogezea list ya trailer za movie ambazo ziko cinema tayari, unaweza kucheck na ukashawishika…
Kaokoa maisha ya mchezaji mwenzake, ila FIFA wanamchunguza staili yake ya ushangiliaji
Beki wa klabu ya Paris Saint Gemain ya Ufaransa anayeichezea timu ya taifa ya Ivory Coast Serge Aurier weekend iliyopita alipongezwa na watu wengi wa soka hususani kwa kitendo chake cha…
Lionel Messi anatuhumiwa kuzuia mchezaji mwenzake asiitwe timu ya taifa
Timu ya taifa ya Argentina inatajwa kuwa katika nafasi mbaya ya kuwania kufuzu kucheza Kombe la Dunia 2018 Urusi, hiyo inatokana na Argentina kuwa nafasi ya tano katika msimamo wenye…
VIDEO: Ifahamu nyumba ya kwanza aliyowahi kuimiliki Mwl. Nyerere DSM
October 14, 2016 Mtu wangu ikiwa ni kumbukumbu ya miaka 17 tangu kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mwaka 1999. Ayo TV imefika kwenye nyumba ya kwanza…
Rekodi za mchezaji bora wa mwezi September wa EPL
Mshambuliaji wa kimataifa wa Korea Kusini anayeichezea klabu ya Tottenham Hotspurs ya England Son Heung-min ametangazwa kuwa mchezaji bora wa mwezi September wa Ligi Kuu England. Son Heung-min ambaye ameshinda…
Majibu ya Chris Brown kuhusu kumvunjia simu shabiki Airport Mombasa
Mwimbaji staa kutoka Marekani Chris Brown October 8 2016 aliungana na wasanii wengine akiwemo Wizkid wa Nigeria, Vanessa Mdee, Alikiba na wengineo kutumbuiza kwenye tamasha la Mombasa Rocks Music Festival…
AUDIO Mpya: Baada ya Pana… Hii ni mpya nyingine kutoka kwa Tekno Milles
Kama nilivyokuahidi kuhakikisha haupitwi na kitu chochote kizuri mtu wangu, nakusogezea hii nyingine. Wakati number one hit single Pana kutoka msanii Tekno Milles wa Nigeria ikiendelea kufanya vizuri kwenye chart mbalimbali za muziki,…
UTAFITI: Nairobi imetajwa kwenye Top 10 ya majiji yenye foleni zinazokera duniani
Watu wangu wa Kenya hii inaweza kuwa taarifa mbaya kwao hasa wakazi wa jiji la Nairobi. Ni baada ya kutoka list ya majiji 10 yaliyotajwa kuwa na kiwango kikubwa na…
PICHA 8: Rais Magufuli leo amekutana na Naibu Waziri wa Biashara kutoka China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 14 Oktoba, 2016 amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Biashara wa Jamhuri ya Watu wa…