VIDEO: Mchekeshaji Eric Omondi kavileta vitu 5 kwa wanaotaka kuwa kama Saut Sol
Eric Omondi raia wa Kenya ambaye ni moja kati ya watu waliobarikiwa vipaji vingi ikiwemo uwezo binafsi wa kuchekesha kupitia maneno na mwili wake pia, leo katusogezea mambo muhimu ambayo…
Habari kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania October 13 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/786406600777097216…
MAGAZETI: Rais Magufuli aokoa bil 6 kwa posho za Mwenge, Mkakati ATCL kuteka ‘ruti’ huu
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=haxeQmOM5Y8 ULIKOSA HIZ SABABU ZA DC ARUMERU…
Magazeti ya Tanzania October 13, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 13 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
MSIBA: Aliyewahi kuwa meya wa Dar, Dr Didas Massaburi afariki dunia
Aliyewahi kuwa meya wa Dar es Salaam na mbunge wa Afrika Mashariki, Dr Didas Massaburi amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya taifa Muhimbili mahali alikokuwa akipata matibabu yake. Kaa…
VIDEO: Magoli ya mechi ya Yanga vs Mtibwa Sugar October 12, Full Time 3-1
October 12 2016 klabu ya Yanga ilicheza mchezo wake wa saba wa Ligi Kuu na klabu ya Mtibwa Sugar katika uwanja wa Uhuru Dar es Salaam, Yanga ambao wapo chini ya kocha muholanzi wamefanikiwa kuibuka na…
VIDEO: Magoli mawili ya Simba kwenye mechi ya Mbeya CITY leo 2-0
Ni mechi nyingine ya ligi kuu ambayo imechezwa Mbeya leo October 12 2016 ambapo mpaka mwisho wa game, Mbeya City imepigwa 2-0 na Simba, kuyaona magoli yote tazama hii video…
VIDEO: Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Kijazi akitangaza maagizo ya Rais.
Taarifa iliyotolewa leo tarehe 12 Oktoba, 2016 Ikulu Dar es Salaam na katibu mkuu kiongozi balozi John Kijazi imeeleza kuwa Rais Magufuli ameagiza viongozi wote wa serikali walioalikwa kuhudhuria sherehe za…
Video: Salome ya Diamond platnumz ft Rayvanny ilivyotengenezwa studio
Katika hit song zinazopata airtime ya kutosha kwenye media kubwa ndani na nje ya nchi, Salome ya Diamond Platnum na Rayvanny haiwezi kukosekana. Huenda ukawa unaikubali sana ngoma hii na ungependa…
PICHA: Yanga yaendeleza rekodi ya ubabe dhidi ya Mtibwa Sugar
Mechi za Ligi Kuu soka Tanzania bara zimechezwa leo Jumatano ya October 12 2016 katika viwanja tofauti Tanzania, kwa upande wa mabingwa watetezi wa Ligi hiyo klabu ya Dar es…