U HEARD: Mpenzi wa Madee adaiwa kuwapeleka kwa mganga wanaomnyemelea Madee
Leo oct 12 2016 ndani ya XXL ya Clouds FM mtangazaji Soudy Brown amezungungumzia kuhusu mwandada (Neema) aliyedaiwa kuwa ni mpenzi wa msanii kutoka bongo flevani Madee kujihusisha na mambo ya…
Ni hatari kufanya mazoezi makali ukiwa na hasira au msongo wa mawazo
Tafiti mbalimbali zimekuwa zikitoka kila siku, hivi karibuni umetoka utafiti mpya ukieleza kwamba kuna hatari kubwa kwa mtu mwenye hasira au msongo wa mawazo kupata shambulio la moyo endapo atafanya…
VIDEO: RC Mbeya anasema ‘hata hivyo nidhamu ya Mbeya Day ni mbovu’
Mkuu wa mkoa Mbeya Amos Makalla ameongea na AyoTV Mbeya na kuzungumzia ishu zilizoibuka baada ya lile tukio la Mwanafunzi kupigwa mateke na makofi na Walimu kwenye shule ya sekondari…
Mwl Arusha asimulia alivyotekwa ni baada ya kuteuliwa uratibu na baadaye kuondolewa
Mwalimu wa shule ya msingi ungalimited Arusha, Batuli Hamadi Kisaya amekutana na millardayo.com na Ayo TV na amesimulia mkasa wa kutekwa uliomkuta. Mwalimu huyo anadai kuwa alitekwa na watu wasiojulikana. Mwalimu…
UTANI wa Wakenya kuhusu mwandiko wa Rais Jacob Zuma kwenye kitabu cha Ikulu
Wakenya sio watu wa mchezo mchezo linapokuja suala la utani hasa kwenye social media mtu wangu. Serikali ya Kenya weekend iliyopita ilipata ugeni wa Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma…
Baada ya Chris Brown Kenya… Sasa ni zamu ya Nicki Minaj..!!!
October 12, 2016 Kenya inaingia kwenye headlines tena ikiwa ni baada ya mwimbaji staa wa Marekani Chris Brown kufanya show weekend iliyopita Mombasa, mpya ya leo imetoka kwa Gavana wa Mombasa…
Rais Magufuli kazuia viongozi kwenda sherehe za Mwenge… na posho zirudishwe
Taarifa iliyotolewa leo tarehe 12 Oktoba, 2016 Ikulu Dar es Salaam na katibu mkuu kiongozi balozi John Kijazi imeeleza kuwa Rais Magufuli ameagiza viongozi wote wa serikali walioalikwa kuhudhuria sherehe za…
VIDEO: Muonekano wa Hospitali ya Kisasa iliyoko Mloganzila DSM yenye ghorofa tisa
October 11 2016 Mabalozi wa Jamhuri ya Muuungano ya Tanzania walioko nchi za nje walitembelea hospitali ya Kisasa kujionea Ujenzi wa kampasi ya chuo na hospitali ya taaluma na tiba…
Habari kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania leo October 12 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/786051737689944064…
MAGAZETI: Watumishi hewa wasepa na bil 5 za ‘benki’, Mama asimulia alivyovamiwa saa tatu usiku DSM
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=ES13DUbr8D0 ULIKOSA MUONEKANO WA HOSPITALI YA KISASA…