VIDEO: Jionee chumba alicholala Chris Brown Mombasa….
Najua nina watu ambao wanataka kufahamu vingi kutoka kwa Mkali Chris Brown tangu alipowasili Mombasa Kenya, sasa nimefanikiwa kuinasa hii ya bei ya chumba alicholala mkali huyo. Nilichoambiwa ni kwamba thamani…
AUDIO: TFF hawatambui Yanga kukodishwa hadi hili lifanyike
Siku tano zimepita baada ya klabu ya Dar es Salaam Young Africans itangaze kuingia mkataba wa kuikodisha timu yao kwa kipindi cha miaka 10 kwa kampuni ya YANGA YETU, mkataba wa…
Matumizi ya Sukari kwa binadamu yamezidi kiwango, WHO wametoa agizo hili..
Kutoka Shirika la afya duniani WHO leo October 11, 2016 mtu wangu nakuletea taarifa hii kuhusu madhara ya matumizi ya Sukari kwenye nchi nyingi duniani ambayo yamepelekea WHO kuzitaka serikali…
VIDEO: Sahau goli la sekunde ya 7 la Benteke, cheki TOP 20 ya magoli ya mapema
Usiku wa October 10 2016 mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji anayeichezea Crystal Palace Christian Benteke aliingia kwenye rekodi ya kihistoria baada ya kufunga goli sekunde ya 7 katika mchezo wa…
U HEARD: Majibu ya Amber Lulu baada ya kudaiwa alikamatwa na madawa ya kulevya
Ndani ya XXL ya Clouds FM leo mtangazaji Soudy Brown amepiga story Amber Lulu mwanadada maarufu kwenye mtandao wa Instagram ambaye inaelezwa kuwa aliwa kutoka kimapenzi na Rapa Young Dee.…
HEKAHEKA: Mama awaua watoto wake kwa kisu Mbeya, yeye asema hakumbuki kitu
October 11, 2016 ndani ya Leo Tena ya Clouds FM, Mtangazaji Geah Habib akiwa Jijini Mbeya amekutana na Heka Heka kuhusu Mama ambaye aliamua kuwachoma kisu watoto wake wawili na…
Heshima nyingine aliyopewa Mwl Nyerere Afrika
Ikiwa zimesalia siku tatu kufika tarehe 14 ambayo ni kumbukumbu ya kifo cha baba wa Taifa mwalimu Julius Nyerere, Leo October 11 2016 BBC wameripoti taarifa ya Chancellor wa Ujerumani Angela…
VIDEO: Baada ya jamaa Arusha kutoa siku 30 kwa wezi, ajiandaa kuvunja chungu
Tumezoea mtu akituhumiwa kwa wizi anapelekwa mahakamani lakini hii imekuwa tofauti kwenye mila za kabila la Wameru na wamasai Arusha Tanzania, ambapo mtu akikutwa na tuhuma kama za wizi kuna…
Sio mke wa Wayne Rooney pekee aliyekasirishwa, hata John Terry pia
Bado jina la Wayne Rooney linazidi kutawala katika social network, ikiwa saa chache tu zimepita toka mkewe Coleen Rooney aandike kuoneshwa kusikitishwa kwake kupitia account yake ya twitter kutokana na…
Kingine usichokijua kuhusu Rapa Colonel Mustapha kutoka Kenya
Kutoka 254 Kenya leo nimeipata hii stori kuhusu Rapa aliyewahi member wa kundi la The Vultures, Mustapha Colonel ambaye aliwahi kuingia kwenye headlines mara kadhaa baada ya kujitangaza kuwa anatoka…